Uchaguzi 2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno

Hahahahh
Niwaambie MAGUFULI Anachukiwa Mitandao Tuu tena Sana Sana Jamii forum Na Twitter

Kwa Ground Mambo Ni tofauti endeleeni kujipa Mioyo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Watu wa mitandao wanaishi mars au wapi?
Nakumbusha tu, Being A MATAGA IS NOT A JUSTIFICATION OF BECOMING AN IDIOT

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Lini hali ya maisha iliwahi kuwa RAHISI ? Kwa mifumo na utamaduni wa waafrika kuuondoa umasikini kwa watu wengi itachukua muda sana.Iwezo wetu wa kufikiri unatia shaka.
 
Watu wa mitandao wanaishi mars au wapi?
Nakumbusha tu, Being A MATAGA IS NOT A JUSTIFICATION OF BECOMING AN IDIOT

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nakuuliza tuu Nani MATAGA !?

Wanaishi Duniani
Nikufafanulie nilichotaka ufahamu Mimi binafsi nikiingia Mitandaoni (JF na Twitter) Asilimia Kubwa ndipo napokutana na watu wanao mkashifu MAGUFULI Ni mara chache Sanaaa Huku mtaani kuona mtu/watu wamekaa wana mkashifu Magufuli Sio kwnye Daladala, Sokoni,Madukani nk
Zaidi Utaskia tuu Magufuri jembe, Mzee hataki mchez Safi Sana, Jamaa kanyoosha nchi na mengineyo

Huo Ni mtazamo wang Mimi Kama unao wako wa tofaut I won't mess with it [emoji276][emoji276]
 
Ili yawe rahisi spana itumike ipasavyo hiyo oktoba.
To be honesty ili kukomesha kiburi na jeuri ya wanasiasa na watu wengine wenye tuvyeo Kati inatakiwa itupe nguvu zaidi wananchi bila kusubili miaka 5
 
Na sisi tuna jambo letu. Yaani aitukane nchi ughaibuni na kufanya kila linalowezekana ili isipewe mikopo, halafu eti leo anakuja kutuomba kura, wenye kujitambua tunasema HAPANA. Tarehe 28/10/2020 tuna jambo letu.
 
Ddsdssee
 
Sio Mungu aingilie kati, itabidi raia tusimame na haki zetu
 
In shot maisha ni magumu duniani kote kikubwa we pambana usikae kulaumu huku umekaa mtamsingizia magufuli bure wakati hata kipindi cha kikwete mlikua hamna kitu
 
In shot maisha ni magumu duniani kote kikubwa we pambana usikae kulaumu huku umekaa mtamsingizia magufuli bure wakati hata kipindi cha kikwete mlikua hamna kitu
we unafikiri maisha yanajiendesha tu?
 
Kwa hizi njaa unadhani hao wasimamizi vituoni hali itakua shwari? Kama hao wabunge wanaopokea mamilioni wananunulika huko vituoni itakuaje
 
Si mliambiwa mtalima kwa meno? Ngoja tuonje joto zaidi tupate akili timamu!
 
Na sisi tuna jambo letu. Yaani aitukane nchi ughaibuni na kufanya kila linalowezekana ili isipewe mikopo, halafu eti leo anakuja kutuomba kura, wenye kujitambua tunasema HAPANA. Tarehe 28/10/2020 tuna jambo letu.
Mikopo kutoka kwa Mabeberu? mbona sera yetu haitaki ubeberu?
 
We can't breathe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…