Uchaguzi 2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno

Sio ivyo tu, tumejawa na hofu kubwa, watu wanapotea, watu wanatekwa, watu wanaokotwa baharini wakiwa wameuwawa, watu kupigwa risasi, tunaogopa ata kutumia simu zetu kwan tunakuwa monitored, ni hofu hofu hofu, kweli kuichagua ccm ni kosa kubwa kwan unyama uaendelea tu dhidi yetu
 
Ni kweli hali imekaza lakini ni hali ya hii Africa yote na si Tanzaniaa pekee..hali ya bara zima ni mbaya mno labda kama hujatembea,na hii yote ni athali itokayo miaka ya nyuma kwa mkoloni,alitubebesha mizigo ya kufikiri cha kwao kisicho fanya kazi kwamaisha y mtu mweusi, makosa makubwa mawili ya Africa ni-:

1. Kutokuifanya Afrika kua moja na lugha moja

2. Kuubali elimu iliyo jaa misingi ya kigeni isiyo mtengeneza mtu mweusi kujitegemea isipokua kua tegemezi

Msije na lawama dhidi ya JPM, yeye anaepuka kuendelea kuomba kwa wazungu ambao wakitusaidia leo kesho watakuja na sula nyingine za uso wa matamanio na tutashindwa kuwazuia,tujitegemee kwa mambo yetu na kuaminisha vizazi vyetu kua tunaweza hata kama itatuchukua muda

Epuka kufundisha watoto wako kua elimu ya darasani ndo itakayo wasaidia kwa 100%
Yes elimu ni nzuri lakini ina misingi ya mabara mengine na si Afrika,huku tuna elimu nyingine kabisa inayo weza kutusaidia na siyo hizi degree za karatasi ambazo mtu anakaa anafikiri kuajiliwa na mwingine ambaye nae ana shida zake
 
Lissu anakuja kumfanya kila mtu tajiri na hakuna kulipa kodi wala sheria kumbana mtu unaishi utakavyo.

hapa ndio huwa nikitafakari huwa naishia kusema kweli tz ina watu vizibo balaa.[emoji28][emoji28]

sijui hata lissu haogopi??maana ningekuwa mimi ningeogopa kwamba hawa wahuni wananichukuliaje!!!
 

tatizo mnataka muongee majungu na unafiki hiyo itakuwa ngumu kusikilizwa hata na wasafiri wenzako,watakuacha unabwabwaja peke yako bila kukuunga mkono.

yaani umeshiba kiporo cha makande,uko kwenye daladala,unaanza kusema magufuli hakuna alichokifanya nchi hii[emoji23][emoji23][emoji23],amefanya maisha kuwa magumu sana.ukiulizwa swali moja tu kayafanya kuwa magumu kwa namna gani??jibu huna.

nyinyi endeleeni na ngonjera zenu tu za miaka nenda rudi hapa jf na kule twitter kwa wasomi wanaoishi kwao,halafu muone hiyo 28 mtavuna mabua kiasi gani.
 
Kuna tofauti kubwa sana ya sasa na tulipotoka.Na usifananishe dunia nzima na shida zetu na umaskini wetu wakujitakia kwasababu yakukosa viongozi bora wakuongoza nchi ipasavyo.

mkuu watu wanajenga,wananunua magari na kufungua miradi,endelea kulia lia.
 
Whatever your mind can create it can achieve
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…