Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Mkuu wankuwa na "tax exemption" pia kwenye biashara zao, mfano hotel za Trump na viwanja vya golf nk vinasamehewa kodi?Maraisi wa nchi huwa wanakuwa na "Tax exemption"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wankuwa na "tax exemption" pia kwenye biashara zao, mfano hotel za Trump na viwanja vya golf nk vinasamehewa kodi?Maraisi wa nchi huwa wanakuwa na "Tax exemption"
Mimi nadhani ifike wakati,tutumie mfumo wa Kielectronic kupiga kura,bila shaka tutakuwa tumetibu jambo hiloTatizo kubwa ni kuwa bwana yule na chama chake ni wezi wabobevu wa kura.
Mtaa gani?Usiwakatishe watu tamaa kwa woga wako, sio mara ya kwanza wala si jambo la ajabu kwa watanzania kuingia mtaani wakidai haki zao. Haki yetu ikiminywa tutaingia mtaani.
Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.
Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.
Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.
Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!
Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
Thus awajali kuhusu maisha ya watzMkuu wankuwa na "tax exemption" pia kwenye biashara zao, mfano hotel za Trump na viwanja vya golf nk vinasamehewa kodi?
Ila ukizuia mzunguko zinapunguaTuache uvivu wa kufikiri kazi zipo nyingi sio lazima kuajiriwa , tafadhali kuweni wabunifu mtapasua nchi fedha zipo kibao.
Bora tumalize tu 28/10 jambo letuSure, round ya pili ataburuza watu sana kama kisasi cha kumshangilia Lissu.
hahahahaaaaaaaaaMpk bando ya kuingia JF mkopo wa songesha.
Elfu saba saba zimewatoa akili kabisa. Unadhani huko vijijini na mitaani wanazipata hizo pia? Puumbavu sana ninyi.Tuoneshe mfano. Anza kwa kurekodi ka video tu ukihamasisha tuingie mtaani kufanya chochote.
Trump mjanja mjanja sana na unakuta hiyo kodi kailipa ndogo hivyo lakini ni perfectly legal hajavunja sheria! Ukijua loop holes za kupitia raha sana!😁Mjini mnatafuta nini wajameni? Acha kuishi mjini kwa kubangaiza mtu anatembeza mikanda 3 ya suruali, key holder kuanzia jua linachomoza hadi giza linaingia eti naye anasema vyuma vimekaza! Njoo huku kijijini maisha raha na hivi tumepatiwa umeme wa REA, barabara za lami na treni za umeme zinakaribia kuja, nk maziwa, viazi, mahindi, misosi ya kumwaga!
Nje ya mada: Kumbe Trump wa Marekani Tangu awe rais amelipa kodi ya US$ 750 tu? Urais ni dili!!
Wewe ni mpumbavu wa mwisho.Elfu saba saba zimewatoa akili kabisa. Unadhani huko vijijini na mitaani wanazipata hizo pia? Puumbavu sana ninyi.
Keyboard warrior.Usiwakatishe watu tamaa kwa woga wako, sio mara ya kwanza wala si jambo la ajabu kwa watanzania kuingia mtaani wakidai haki zao. Haki yetu ikiminywa tutaingia mtaani.
Mambo yote yanaanza kwa kuhamasishana. Usikubali nchi hii itawaliwe kwa mtindo huu wa sasa, ni hatari sana umeona uvunjifu mkubwa wa amani na hakuna lolote la maana alilofanya magu ni kawaida sana na hadi sasa hajafikia robo ya Kiwete. Nitajie mradi mkubwa mmoja ambao magu amekamilisha katika kipindi cha miaka mitano. Usitaje miradi aliyoanzisha Kikwete. Mmoja tu mkubwa sio vibarabara vya hapa na pale Kikwete alijenga mabarabara marefu kuunganisha mkoa na mkoa, taja mmoja tu.Keyboard warrior.
Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.
Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.
Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.
Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!
Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
Nakuuliza tuu Nani MATAGA !?
Wanaishi Duniani
Nikufafanulie nilichotaka ufahamu Mimi binafsi nikiingia Mitandaoni (JF na Twitter) Asilimia Kubwa ndipo napokutana na watu wanao mkashifu MAGUFULI Ni mara chache Sanaaa Huku mtaani kuona mtu/watu wamekaa wana mkashifu Magufuli Sio kwnye Daladala, Sokoni,Madukani nk
Zaidi Utaskia tuu Magufuri jembe, Mzee hataki mchez Safi Sana, Jamaa kanyoosha nchi na mengineyo
Huo Ni mtazamo wang Mimi Kama unao wako wa tofaut I won't mess with it [emoji276][emoji276]
Na kimbunga tunachokiona kila apitapo hao ni wanaFJ au ni events za mwaka 1890 wakiwapokea wakoloni!!! MATAGA bwana, mnajua kujitoa akili!!!!Hahahahh
Niwaambie MAGUFULI Anachukiwa Mitandao Tuu tena Sana Sana Jamii forum Na Twitter
Kwa Ground Mambo Ni tofauti endeleeni kujipa Mioyo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]