Uchaguzi 2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno

Uchaguzi 2020 Hali ya maisha mtaani ni ngumu mno

Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
Nicheki pm chap
 
Hapo pa mkopo umepiga mlemle Tundu Lissu ataichukua hii point wananchi waelewe hali ilivyo tete
 
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
Wanaenda kutafuta maisha, ungejiunga nao, ukaoshe wazee Ulaya, wakati mapori ya kilimo na ufugaji yapo tele TZ, unataka Serikali ikugawie pesa na ukoo wako. Hakuna nchi inayofanya hivyo duniani. Jitume kijana. Usipofanyakazi huwezi kula.
 
Nimeota ujue hata mkipiga kura, wasimamizi wa uchaguzi hawatatangaza mpinzani kama ilivyokuwa serikali za mitaa na chaguzi zilizorudiwa.

Ndoto yangu ni ya ukweli kwa hiyo tujiandae kisaikolojia miaka mingine 5 kuwa na huyu jamaa unless Mungu aingilie kati tu.

Na safari hii atafanya anachotaka, hata viboko mtapigwa heeeee
Kazi yetu Ni kupiga kura hayo mengine tutajua hapohapo
 
Hahahahh
Niwaambie MAGUFULI Anachukiwa Mitandao Tuu tena Sana Sana Jamii forum Na Twitter

Kwa Ground Mambo Ni tofauti endeleeni kujipa Mioyo
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Watu wa jamiiforums wanaishi wapi? Magufuli watu hawampendi ila wanaogopa kuongea hadharani ,majibu Ni 28/10
 
Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.

Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.

Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.

Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!

Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
wewe lazima utakuwa mvivu.
sisi tuko lundamatwe tunalima vitunguu na nyaya na tunauza freshi kabosaa wewe upo umekaa kijiweni unapiga soga!!
acha kulemaa nenda ukalime usikae kijiweni
 
Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.

Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.

Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.

Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!

Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
mkimchagua tena hali itakuwa ngumu mara tano ya sasa donor country hawamtaki hana ufahamu na mambo ya uchumi wala mahusiano ya kimataifa,katika miaka mitano iliyopita alikuta miundo mbinu ya kiuchumi ya JK hii mitano tena ni 5 solid take my point
 
Nimekata tamaa kupiga kura kutokana na mwonekano wa NEC. Inaonekana hata mgombea nimtakaye akishinda hatatangazwa
Timiza wajibu wako, piga kura ya kumkataa shetani na kazi zake, kazi ya kulinda kura waachie kina Lisu wenyewe
 
Mimi kwa siku napangua mizinga (vibomu ) vya kuombwa hela na wadada zaidi ya 6 wengine hata sio wapenz wangu ila bas tu ukionesha kumzoea anaomba hela. Kunasiku nlikua naandika nikakuta mpaka jioni inasoma 350,000 za kuombwa tu huyu kaomba 15, huyu kaomba 30, yule 20 in total ilisoma 350 nikasema what if ningetoa? Na kesho unaamka na request zingine . Maisha yamekaza sana
 
Sasa ni dhahiri kuwa hali ya maisha Tanzania inakatisha tamaa. Ni ngumu mno kiwango cha juu kinachokera na kuumiza.

Pamoja na ulofa mtu aliokuwa nao lakini tangu aamke asubuhi mpaka jioni atakuwa amefuatwa na watu wasiopungua 5 waliomfuata wakiomba mkopo huku yeye mwenyewe pia akiwa katika msako wa mkopo.

Yaani kila mmoja anamfikiria mwenzake labda ana unafuu fulani, kumbe siyo.

Wote tupo kwenye msoto mkali. Miaka 5 ya utawala huu imetufikisha hapa! Sasa wanakuja tena kuomba kura eti wamenunua ndege!

Tuna JAMBO LETU 28/10/2020.
CCM hawana jipya uwezo wao kiuchumi nadipo walipofikia sanasana watakijibu kwamba fanya Kazi acha kubeti ama ulikuwa unapiga dili
 
Nakuuliza tuu Nani MATAGA !?

Wanaishi Duniani
Nikufafanulie nilichotaka ufahamu Mimi binafsi nikiingia Mitandaoni (JF na Twitter) Asilimia Kubwa ndipo napokutana na watu wanao mkashifu MAGUFULI Ni mara chache Sanaaa Huku mtaani kuona mtu/watu wamekaa wana mkashifu Magufuli Sio kwnye Daladala, Sokoni,Madukani nk
Zaidi Utaskia tuu Magufuri jembe, Mzee hataki mchez Safi Sana, Jamaa kanyoosha nchi na mengineyo

Huo Ni mtazamo wang Mimi Kama unao wako wa tofaut I won't mess with it [emoji276][emoji276]
Kama hujui hata mimi ukinikuta mtaani namsifu Magufuli, Tanzania imegeuzwa Polisi state.

Ukitaka kuamini yaliyomo mioyoni mwa Watanzania subiri tarehe 28.

Hata Paskal Mayalla wajumbe walikuwa wakitabasamu naye na kumuahidi kura za kishindo ila kwenye sanduku la kura aliambulia kura moja tu.

Hii ndii style tunayokwenda kumsuprise Meko huko mtaani ni sisi ndio tunamsifu kwa kulinda usalama wetu, ila mioyoni mwetu anajuwa Mungu mwenyewe, hii ni siri tu nimekumegemea usimwambie mtu maana akijuwa atafuta uchaguzi.
 
Mimi kwa siku napangua mizinga (vibomu ) vya kuombwa hela na wadada zaidi ya 6 wengine hata sio wapenz wangu ila bas tu ukionesha kumzoea anaomba hela. Kunasiku nlikua naandika nikakuta mpaka jioni inasoma 350,000 za kuombwa tu huyu kaomba 15, huyu kaomba 30, yule 20 in total ilisoma 350 nikasema what if ningetoa? Na kesho unaamka na request zingine . Maisha yamekaza sana
Haa wewe unaombwa nyingi Sana
 
Lini hali ya maisha iliwahi kuwa RAHISI ? Kwa mifumo na utamaduni wa waafrika kuuondoa umasikini kwa watu wengi itachukua muda sana.Iwezo wetu wa kufikiri unatia shaka.
kuna hatua walizo chukua huyu jamaa zimetufikisha hapa huwezi ondoa wafedha kwenye mzunguko abrupt na hukuukirebisha sheria mbalimbali biashara,huu mfumo aliwekaDaudi Balali wakes na accountzatra kwenye mabenki zilistimulate uchumi saana
 
wewe lazima utakuwa mvivu.
sisi tuko lundamatwe tunalima vitunguu na nyaya na tunauza freshi kabosaa wewe upo umekaa kijiweni unapiga soga!!
acha kulemaa nenda ukalime usikae kijiweni
Njoo ununue vitunguu huku vimejaa hakuna wanunuzi. Wanunuzi walikuwa Wakenya, bwana yule kagombana na Uhuru Kenyatta biashara imeota mbawa. Vitunguu vinaozea shambani. Tunapokuambia hali ni ngumu ujue ni ngumu kwelikweli.
 
Ukiwa mwepes wa kutoa unajilostisha mwenyewe unaanza kujiona huna la maana unalofanya kumbe hela unagawa kwa madem ambao hata hawana msaada na ww siku umepata matatizo
 
Uchumi wakati haujafika maeneo hayo basi chagua TUNDU LISSU
20200924_185310.jpg
 
Back
Top Bottom