Nakumbuka nina miaka 5 kitanda changu cha kamb kilikuwa kikubwa kimetoboka chini ukilala mgongo unauma sana.
Kuna wakati kunguni walikuwa wengi kiasi nakosa usingizi wakati wa kulala.
Lakini sasa hali ni tofauti kabisa.😆🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.