Hali ya Mapenzi imeimarika mtaani baada ya Covid-19

Hali ya Mapenzi imeimarika mtaani baada ya Covid-19

🤣🤣🤣🤣🤣 asante sana mkuu, tuombeane uzima tu maana nimekuwa muhanga katika sekta niliopo. Si ofisini wala biasharani!
Daah! Pole yataisha tu mkuu. Kikubwa uzima.
 
Kama hawana dalili basi hawawezi kuambukiza....according to medical health specialists
Sio kweli. Madaktari wengi wameambukizwa corona kwa kutibu watu ambao wameletwa hospitali kwa magonjwa mengine au hara waliopata ajali. Unaweza kuwa umebeba virusi vya corona na huna dalili kwa sababu virusi vinachukua hadi siku 14 ili mtu apate dalili za ugonjwa. Tuwe makini corona ni hatari sana!!
 
Habari wana JFs MMU.

Hali si siri tena. Mambo yamebadilika ghafla. Twaweza kusema asante corona! Japo imekuja na mabalaa ya kuugua na baadhi ya vifo huko duniani na Leo Tz R.I.P Issa H. Mtibwa( kama sijakosea jina).

Pamoja na madhara hayo kwa upande mwingine Corona imekuja na matokeo chanya kimapenzi. Wale wadada wazuri wazuri waliokuwa wanatupiga chenga sasa wanatusalimia kwa bashasha na ukiomba mzigo unapewa fasta bila hiyana. Hali ni mbaya kiuchumi mtaani. Na inatarajiwa kuwa mbaya zaidi ikiwa hili janga litaendelea. Matokeo yake maringo na nyodo zimeisha kwa walimbwende.

Ni muda sasa sisi tulioko kwenye bomba la pesa lisiloathiriwa na mlipuko wa corona( yaani sisi watumishi wateule wa rais ktk nyadhifa mbali mbali) hali ni nzuri mno.

Wife kaongeza mahaba, mtaani ndio usiseme. Warembo full kujilengesha, leo tu nimemfumua mmoja mkali. Na kesho kuna mwingina naona ananipa appointment yeye mwenyewe.

Mahotel yamefungwa baadhi ya Bar zimepungua mauzo, kampuni mbali mbali ziko hoi na watumishi wao ( wengi hawa warembo) wamegeuza dira zao.

Hali ni nzuri na Covid-19.

Je huko kwako hali ikoje kimapenzi?? Leteni tathmini
Hizi akili za wengine! Tunayo kazi!
 
COVID 19 ni ya kishwaini mno japo kuna koloni langu limeanza kuntafuta kwa fujo toka juzi...ila kwa sasa hali ya mifuko yangu ina matundu makubwa zaidi ya virusi vya Corona
ha ha ha inabidi ukope huduma kwa hilo koloni mkuu
 
Hizi akili za wengine! Tunayo kazi!
Nilifikiri unaongelea mapenzi ndani ya familia kumbe 'umalaya'! Ufuska, ngono holela! Hiyo siyo faida ni janga ndani ya janga, maana baada ya corona kupita si tu utakuwa kwenye hatari ya kuambukizwa STI, bali kuvunjika kwa familia na mahusiano, na pia kuwindana kwa wivu wa mapenzi! Sasa kwenye uzi wako sioni kuimarika huko kupo kona gani! Maana hata huyo uliepitia huonyeshi kuweka kambi bali kumfuata mwingine kesho kama mbuzi vile!
 
Sio kweli. Madaktari wengi wameambukizwa corona kwa kutibu watu ambao wameletwa hospitali kwa magonjwa mengine au hara waliopata ajali. Unaweza kuwa umebeba virusi vya corona na huna dalili kwa sababu virusi vinachukua hadi siku 14 ili mtu apate dalili za ugonjwa. Tuwe makini corona ni hatari sana!!

Nitajie ugonjwa usiokuwa hatari


Sent using IPhone X
 
Habari wana JFs MMU.

Hali si siri tena. Mambo yamebadilika ghafla. Twaweza kusema asante corona! Japo imekuja na mabalaa ya kuugua na baadhi ya vifo huko duniani na Leo Tz R.I.P Issa H. Mtibwa( kama sijakosea jina).

Pamoja na madhara hayo kwa upande mwingine Corona imekuja na matokeo chanya kimapenzi. Wale wadada wazuri wazuri waliokuwa wanatupiga chenga sasa wanatusalimia kwa bashasha na ukiomba mzigo unapewa fasta bila hiyana. Hali ni mbaya kiuchumi mtaani. Na inatarajiwa kuwa mbaya zaidi ikiwa hili janga litaendelea. Matokeo yake maringo na nyodo zimeisha kwa walimbwende.

Ni muda sasa sisi tulioko kwenye bomba la pesa lisiloathiriwa na mlipuko wa corona( yaani sisi watumishi wateule wa rais ktk nyadhifa mbali mbali) hali ni nzuri mno.

Wife kaongeza mahaba, mtaani ndio usiseme. Warembo full kujilengesha, leo tu nimemfumua mmoja mkali. Na kesho kuna mwingina naona ananipa appointment yeye mwenyewe.

Mahotel yamefungwa baadhi ya Bar zimepungua mauzo, kampuni mbali mbali ziko hoi na watumishi wao ( wengi hawa warembo) wamegeuza dira zao.

Hali ni nzuri na Covid-19.

Je huko kwako hali ikoje kimapenzi?? Leteni tathmini
Kwahiyo unaona sifa kwa uzinifu, halafu baadaye unapeleka Corona nyumbani umamsingizia shetani mmmm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kampuni nyingi zimefungwa hivyo vibarua hakuna, warembo wengi hawana pa kushika wanalandalanda mtaani tu.... isa blessings in disguise.
 
Back
Top Bottom