Hali ya mvua kwenu ikoje?

Hali ya mvua kwenu ikoje?

Huku Kange Kasera inanyesha
topeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, nilikimbia huko nikauza kila kitu miaka kama 10 iliyopita kwa sababu ya tope. gari unaliacha Pembe... 😀 😀 😀
 
TMA wamesema kwamba itanyesha kwa siku 4 kuanzia leo Tar 15 Nov mpaka 18 Nov 2023.
 
ni saa10:07 pande izi,

mvua imetamalaki mno ikiambatana sambamba kabisa na upepo mkali sana wa kisulisuli inazama mpaka ndani nyumba bila wasiwasi wowote. Aiseee acha kabisaa ni ukungu wa kutisha nje ...

nikiripoti kutoka kijichi dsm, mm ni Tlaatlaah wa JF family...
Kijichi sehemu gani? Me nipo hapa karibu na Mara hospital 😂
 
Kijichi sehemu gani? Me nipo hapa karibu na Mara hospital 😂
Mama mchungaji,
Naandika ujumbe huu muda nikijidaa kukamata kidala kutoka vikunai one time mpaka hapo kichemchemu kuna kadeal kidogo hapo,

utakua hapo kwa kipindi gani nije nikusabahi kiroho na kimwili kwa kibali cha Roho Mtakatifu?
 
Umaeanza kutoa location? Wewe utagegedwa leo leo na kesho uende kwenye uzi wa rikiboy uangalie simulizi yako ya gegedo la kimasihara
 
Back
Top Bottom