Hali ya Mwili wa Binadamu baada ya kufariki

Hali ya Mwili wa Binadamu baada ya kufariki

Rigor Mortis/kukakamaa kwa viungo baada ya kufariki.

Huanza saa mbili baada ya uhai kutoka, huchukua takribani saa 6-8 kukamilika.

Hali hiyo huweza kubaki hivyo kwa saa 12-24 baada ya uhai kutoka na kuondoka.

Hivyo, inawezekana kukawa na hali nyingi zinazoweza kusababisha utofauti.

1: Muda rasmi wa uhai kuondoka/uhalisia.

2: Size ya mwili.

3: Kiasi cha ufunikaji mwili baada ya kifo

4: Hali ya afya kabla ya kifo

5: Aina ya tiba kabla ya kifo

6: Mazoezi ya mwili aliyokuwa akifanya mhusika

7: Joto la eneo husika

MFANO:
A: Kwenye joto la 6 centigrade
Hufanyika ndani ya saa 48-60
Huisha kwenye saa 168

B: Kwenye joto la 24 centigrade
Huchukua saa 5 kuanza
Huisha ndani ya saa 16

C: Kwenye joto la 37 centigrade
Huanza ndani ya saa 3
Hisha ndani ya saa 6

NB: Autolysis: ni kitendo cha cell za mwili kuharibiwaa na vimeng'enyo vya mwili/enzymes. Hii huanza mara tu baada ya kifo au ndani ya wastani wa dakika 4.
Asante sana
 
[mention]Mshana Jr [/mention] mkuu ivi ni kwanini miili ya marehemu michwari hua mnaipasua kwenye tumbo maeneo ya chini ya kitovu? Nimeshuhudia ili zaidi ya miili 3 nikakosa wa kumuuliza.
Nimewahi kushuhudia pia, hasa kama mwili unasafirishwa. Na sio kupasua tumbo tu huwa wanaukata kata na utumbo pia na kunyunyiza dawa.
 
Haya hutokea sana kwa vifo visivyo vya kawaida


Sent using Jamii Forums mobile app


Naomba ufafanuzi

Mwaka 2011 akifariki Kijana mdogo mtoto wa uncle kwa ajari ya umeme.

Siku hiyo hiyo alipelekwa mochwari na mazishi yalifanyika baada ya siku 1 tangu Afariki.

Ila maiti yake ilikuwa inatokwa Sana jasho ambalo sio la kawaida je hii husababishwa na nini ?.
 
Back
Top Bottom