beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Katika Taarifa/Malalamiko 100 yaliyopokelewa na Mamlaka kati ya Januari - Machi 2022, Taarifa 73 zilihusu vitendo vya Rushwa na 27 hazikuhusiana na Rushwa.
Malalamiko yalihusu Sekta mbalimbali zikiwemo TAMISEMI (41), Elimu (12), Ardhi (12), Afya (9), Mahakama (6), Mazingira (3), Fedha (03), Polisi (2) na Kampuni za Ulinzi (2).
TAMISEMI imeonekana kulalamikiwa zaidi na Wananchi wa Singida. Changamoto kubwa katika eneo hili ni nini? Hatua zinazochukuliwa zinasaidia?
Malalamiko yalihusu Sekta mbalimbali zikiwemo TAMISEMI (41), Elimu (12), Ardhi (12), Afya (9), Mahakama (6), Mazingira (3), Fedha (03), Polisi (2) na Kampuni za Ulinzi (2).
TAMISEMI imeonekana kulalamikiwa zaidi na Wananchi wa Singida. Changamoto kubwa katika eneo hili ni nini? Hatua zinazochukuliwa zinasaidia?