Hali ya sarafu yetu yazidi kuimarika, pongezi kwa serikali ya Magufuli

Ni kweli wakati JPM anaingia 2015 aliikuta usd 1 = TSh 2160, lakini aliikuta ikiwa inaporomoka kwa kasi

Hivyo japokua imeendelea kuporomoka lakini jitihada kubwa zimefanyika kupunguza kasi ya huo mporomoko, na hapo majuzi watu walipojaribu kuihujumu shilingi serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha hali inatengamaa!
 
A
Ni kweli ila hebu aache uwanja sawa wa kufanya siasa bhana!
Binge live amezima ila yeye kila uchwao ata km anaapisha balozi mmoja LiVE!
Hajiamini sijui kwanini!
Ana chuki kubwa na Wakaskazi sijui walimkosea nini na Chadema hata ikiwa mahtuti bado inamtisha sana.
 

Acha stori miingi!

Kaikuta 2,160/=!

Kutoka hapo leo mwaka wa nne,imekua mbaya zaidi!

Sasa sijui unasema vitu gani ndugu yangu?

Jukumu lake tangu ameingia ofisini day 1 ni kazi yake kuhakikisha haipandi zaidi ya 2,160/= tena sana sana ishuke!

Ndio kazi yake tuliyompa!Sasa wewe unasema ilikua inaporomoka na wakati ameingia ofisini?

Utetezi mwingine unafanya uonekane kituko kabisa!
 
Mi naona wanaoharibu zaidi ni Benki zetu, bei wanayouza ni kubwa sana ukilinganisha na wanayonunua, hii ni tofauti kabisa na nchi nyingine, utakuta kwa dola moja wanapata faida ya zaidi ya sh. 100

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye upande wa euro ndo hatari kabisa. The difference is 300Tshs per euro. Binafsi naona kama ni upuzi flani ivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…