Hali ya Simba SC ni mbaya sana, Mo Dewji anatapeliwa! Mashabiki tuchukue hatua

Duh! Kweli mkuu? Na kama ni kweli hii inaonyesha hawa vijana wamesharidhika na maisha na huko Misri wanakwenda kutalii tu tusitegemee jipya.
 
We bw.ege mwenzio anazungumzia uzembe na ukosefu wa weledi na nidhamu wa timu ya Simba. Halalamikii timu kufungwa. Darasa la saba mnasumbua sana. Hamwelewagi mada....

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu matusi ya nini? Hii hoja inayohitaji mjadala, na huo ndiyo mchango wangu, hutaki pita tu. Hata hivyo wewe msomi wa PhD level tumekusoma, maana mchango unaonyesha dhahiri ulichonacho kichwani mwako. Hata anaweza kutoa mawazo ya kujenga kuliko hiyo PhD makanikia uliyonayo.
 
Ungeandika kwa herufi ndogo ingependeza zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kocha hadi Leo hana kikosi cha kwanza,kila siku anapangua wachezaji,kila siku anawajaribu wachezaji watazoeana lini.ifike pahala wachezaji wajuane na wazoeane.
Nakumbuka mwaka fulani simba ilitisha lakini kila ukisikia simba inacheza hadi mashabiki tulikuwa tunakijua kikosi cha kwanza na cha ushindi
Mohamed mwameja
Kasongo athmani
Twaha Hamidu
Fikiri magoso
George masatu
Ramadhani leni ...
Kulikuwa na kina Hussein masha,Eduard chumila nk sio kocha mara Leo anamjaribu kichuya kisha wiki mbili hachezi tena.
Mara Leo kagere anaanza kesho yuko benchi yaani mfumo wa kipumbavu kabisa.
Timu lazima iwe na kikosi cha kwanza kamili chenye maelewano...
KOCHA HAFAI


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Sawa kabisa,
Na timu haina nidhamu halafu sijui kwa nini meneja wa timu hajapigwa chini hadi Leo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
PHD makaninia ndio kitu gani hicho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mo hakuna timu anayochukua ikafanikiwa, zilishamshinda African Lion na Singida

Sent using Jamii Forums mobile app
kufanikiwa kufanyaje mkuu,maana simba ndio mabingwa kwa sasa na timu imefuzu hatua ya makundi na ndio club pekee kwa ukanda wa afrika mashariki iliyofuzu hatua ya makundi ,imecheza mechi mbili hartua ya makundi ,imeshinda moja na imepoteza moja.au kwako mafanikio ni sportpesa na mapinduzi
 
Hahahaha, ndio ile yuko na mdada kavaa nguo nyekundu huyo mdada ?

Kn video nyingine naona mchezaji mmoja wa Simba anamfanyia kitendo kibaya binti

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyohiyo ya wawa mwanamke aliyevaa gauni nyekundu

Hiyo nyingine sijaiona, kwa style hii watachezaje mpira vizuri usiku walikesha kwenye mambo yao
 
Kwa tunaoijua simba uchoko kwa simba ni jambo la kawaida viongozi wakubwa wa simba kazi ya kusifia mapaja ya wachezaji wao. Viongozi hawa mabasha wanaingilia mpaka usajili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…