Jerry de Marco
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 213
- 41
bila shaka mu wazima wa afya,jambo ambalo linanitatiza na kuniumiza akili ni kuwa kuna wakati nawashwa sana katika korodani hali ambayo hupelekea eneo hilo kubabuka.Hali hii hutokea kwa nyakati tofauti ambapo nyakati zingine haitokei,nnachojiuliza je ni hai ya hewa ndo inasababisha haya maana nikiwa nyumbani mkoani haijawahi tokea isipokuwa nikiwa dar.Watalaamu naombeni msaada wenu