Hali ya Soko la Vyakula Ilala, Dar es salaam ni mbaya, watu hawajali uwepo Kipindupindu wanauza bidhaa mitaroni

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Licha ya Serikali kutangaza kuibuka kwa Ugonjwa wa Kipindupindu katika Wilaya ya Ilala, bado hali ya Masoko ya Vyakula ni mbaya kwenye suala la Usafi kutokana na miundombinu mibovu ikiweko kukosekana mifereji ya kupitisha Maji Machafu, Uhaba wa Vizimba unaosababisha Wafanyabiashara kupanga bidhaa chini bila kujali uchafu unapita na maji.

Nashindwa kuelewa Serikali inashindwaje kuweka sawa maeneo muhimu kama Masoko.

Hii ndio hali halisi ya Soko la Ilala asubuhi ya leo

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.

 
Masoko yote ni machafu.

Ni swala la mnunuzi kununua, afu kuvisafisha vizuri kabla ya kuhifadhi

Mabucha mengi ni mchafu
 
Masoko yote ni machafu.

Ni swala la mnunuzi kununua, afu kuvisafisha vizuri kabla ya kuhifadhi

Mabucha mengi ni mchafu
Viongozi wa Tanzania wa hovio,kwa sababu gani?hawako tayali kufuata ushauri wawataaramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…