Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hii ndiyo Moshi tuliyoijua miaka 2007
Huyo kiongoozi aliyesema ni wajibu wa wananchi kumkumbusha mtendaji wa mtaa, alitakiwa ang'olewe kwenye hiyo nafasi pamoja na huyo mtendaji wake, ina maana Dr na nurse nao wakumbushwe na wagonjwa, Mwalimu akumbushwe na wanafunzi, hao kama wanalipwa mishahara kwa kusubiri kukumbushwa basi nchi imeshaoza