Hali ya Ukame nchini

Sumbawanga wanapitisha mchango wa tambiko 5000 ili mvua zinyeshe mbegu zimeanza kuharibika, jua ni Kali haswa huku vijijini Maji hakuna, usiku tunalala nje
 
Naona mvua waliyopigwa Dodoma Jiji pale kwa Mkapa inaendelea kunyesha,...Dodoma usiku huu mvua inanyesha [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hameni mkoa huo..., daaadek
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…