Hali ya Ukame nchini

Hali ya Ukame nchini

BILGERT

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
6,534
Reaction score
11,011
Wakuu hali ni mbaya hasa hapa Dodoma,jua ni kali mnoo.wakulima wapo njia panda,hawaelewi kabisa.
Matumaini ya mvua kunyesha yanazid kuyeyuka mithili ya barafu.

Mbaya Zaid Serikali ipo kimya,haitoi taarifa wala muelekeo hasa kukabiliana na balaa la njaa ambalo linatishia usalama wa taifa mwaka 2022.

Hapo ulipo hali ikoje?
 
Basi Dodoma ifanyiwe maombi maalum kwa Mungu.
Waalikwe viongozi wadini watete na Mungu. Hilo kwa Mungu ni dogo
 
Kama mlikata miti milioni tatu kwa mkupuo mnategemea nini?
 
Ila Dodoma ni kame siku zote. Average ya 500mm aisee huko fanyeni ishu nyingine sio kilimo cha kutegemea mvua.
 
Ila Dodoma ni kame siku zote. Average ya 500mm aisee huko fanyeni ishu nyingine sio kilimo cha kutegemea mvua.
Mkuu hali kama hyo pia naambiwa Ipo Ruvuma,njombe na Iringa.huko kote mvua bado.
 
Wakuu hali ni mbaya hasa hapa Dodoma,jua ni kali mnoo.wakulima wapo njia panda,hawaelewi kabisa.
Matumaini ya mvua kunyesha yanazid kuyeyuka mithili ya barafu.

Mbaya Zaid Serikali ipo kimya,haitoi taarifa wala muelekeo hasa kukabiliana na balaa la njaa ambalo linatishia usalama wa taifa mwaka 2022.

Hapo ulipo hali ikoje?
Serikali inaandaa mashahidi kesi ya mbowe
 
Huku mbeya mahindi ndoyanabeba mkuu na bado mwez wa pili tunapanda tena Dodoma huko kwenu N jangwa kitambo tu
 
Back
Top Bottom