Hali ya upweke, kutotaka mpenzi au bugudha inasababishwa na nini?

Hali ya upweke, kutotaka mpenzi au bugudha inasababishwa na nini?

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,593
Reaction score
8,595
Kuna ile hali mtu hufika hahitaji date, hautaki mapenzi, hapendi, Unakuwa hauna nyege, haupendi mastory Sana. Yaaani una kuwepo tu na maisha yako.

Hivi hii kitaalamu inaitwaje....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hasara zake ni zipi....?

Nawasilisha

1649144531218.png
 
Hivii hii kitaalamu inaitwaje ....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hsara zake ni zipi....?
Kitaalamu inaweza kuwa ni stress

Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini, baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia, kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita.

Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako

Hasara ni upweke
 
Kitaalamu inaweza kuwa ni stress

Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini,baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia,kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita

Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako
Hasara ni upweke
Ukosefu wa pesa mwilini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna ile Hali mtu hufika haitaji date, hautaki mapenzi, hapendi, Unakua hauna nyege , haupendi mastory Sana. Yaaani una kuwepo tu na maisha yako.

Hivii hii kitaalamu inaitwaje ....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hsara zake ni zipi....?

Nawakilisha
Achana na mambo ya uzinzi na uasherati.

Rudi kwa Muumba wako.

Aza kushika ibada, Oa au Olewa.
 
Kuna ile Hali mtu hufika haitaji date, hautaki mapenzi, hapendi, Unakuwa hauna nyege, haupendi mastory Sana. Yaaani una kuwepo tu na maisha yako.

Hivii hii kitaalamu inaitwaje....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hasara zake ni zipi....?

Nawasilisha
Hii stage inaitwa "NIMEKUA THATHA"

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kitaalamu inaweza kuwa ni stress

Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini, baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia, kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita.

Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako

Hasara ni upweke
Hakuna faida, ni mateso tu
 
Kuna ile Hali mtu hufika haitaji date, hautaki mapenzi, hapendi, Unakuwa hauna nyege, haupendi mastory Sana. Yaaani una kuwepo tu na maisha yako.

Hivii hii kitaalamu inaitwaje....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hasara zake ni zipi....?

Nawasilisha
"Maturity."
 
Kitaalamu inaweza kuwa ni stress

Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini, baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia, kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita.

Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako

Hasara ni upweke
jibu mrua sana
 
Kitaalamu inaweza kuwa ni stress

Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini, baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia, kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita.

Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako

Hasara ni upweke
Been through this
 
Back
Top Bottom