Kitaalamu inaweza kuwa ni stressHivii hii kitaalamu inaitwaje ....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hsara zake ni zipi....?
Ukosefu wa pesa mwilini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kitaalamu inaweza kuwa ni stress
Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini,baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia,kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita
Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako
Hasara ni upweke
Achana na mambo ya uzinzi na uasherati.Kuna ile Hali mtu hufika haitaji date, hautaki mapenzi, hapendi, Unakua hauna nyege , haupendi mastory Sana. Yaaani una kuwepo tu na maisha yako.
Hivii hii kitaalamu inaitwaje ....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hsara zake ni zipi....?
Nawakilisha
Hii stage inaitwa "NIMEKUA THATHA"Kuna ile Hali mtu hufika haitaji date, hautaki mapenzi, hapendi, Unakuwa hauna nyege, haupendi mastory Sana. Yaaani una kuwepo tu na maisha yako.
Hivii hii kitaalamu inaitwaje....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hasara zake ni zipi....?
Nawasilisha
Hakuna faida, ni mateso tuKitaalamu inaweza kuwa ni stress
Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini, baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia, kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita.
Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako
Hasara ni upweke
"Maturity."Kuna ile Hali mtu hufika haitaji date, hautaki mapenzi, hapendi, Unakuwa hauna nyege, haupendi mastory Sana. Yaaani una kuwepo tu na maisha yako.
Hivii hii kitaalamu inaitwaje....? Na hutokana na Nini....? Na faida na hasara zake ni zipi....?
Nawasilisha
jibu mrua sanaKitaalamu inaweza kuwa ni stress
Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini, baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia, kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita.
Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako
Hasara ni upweke
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hio stage inaitwa "huna hela mbwa wewe, nyege utatoa wapi"
Nakazia hapaNear death stage
Been through thisKitaalamu inaweza kuwa ni stress
Hutokana na sababu nyingi mfano ukosefu wa pesa mwilini, baadhi ya matatizo ya kimaisha kama migogoro ya kifamilia, kimahusiano ama usaliti kwa mpenzi/wapenzi yaliyopita.
Faida kubwa ni kuwa huru zaidi na maisha yako
Hasara ni upweke