Hali ya usafi kwenye saluni unayoenda kusuka au kunyoa ikoje?

Inasikitisha, suala la usafi inabidi liwe la kwanza katika kupata huduma hizi
 
Ni mbaya sana nimejaribu Saloon kadhaa hata zile classic swala la usafi ni duni sana.

Elimu Elimu Elimu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Baada ya India nadhani Africa na Tz yetu tunaongoza kwa uchafu na uholela.

Ili uipate huduma safi inatakiwa uilipie hela nyingi sana, sasa huduma ya kawaida tu unatoboa mfuko why?
 
Tulianzaga kunyoa chini ya miembe
Mambo yalikuwa mukide

Ova
 
Aisee hili ni tatizo
Unakuta chanuo,vitana,vichafu
TauloπŸ™Œ
Balaa
 
Mm ninae mashine yangu nyumbani tunanyolea familia nzima

Uzuri sinaga mtindo wa kunyoa ni kipara tu

Na wife ndio kinyozi wangu
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Baada ya India nadhani Africa na Tz yetu tunaongoza kwa uchafu na uholela.

Ili uipate huduma safi inatakiwa uilipie hela nyingi sana, sasa huduma ya kawaida tu unatoboa mfuko why?
Yani balaa. Halafu sioni kama tutatoka leo maana hakuna anaeona kama hili ni tatizo. Tz haijalishi mtu ni msomi au la. Tabia zetu kuhusu usafi hasa kwenye huduma hizi kama za vyakula ,kunyoa n.k. zinafanana tu. Tunatofautiana kiasi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…