Aligoma makubaliano na kuifata Nairobi,Luanda process, nini tena anataka?nchi kaigawanya mwenyewe. Goma soon sio Mali ya DRC,itakuwa nchi mpya. Huwe kubagua,kuuwa raia wako ukawa salama.
Governor wa North kivu General Chilimwami alijulikana kwa kuwaua kabila la kitusi.
Hayupo tena!