Hali ya Uwanja wa B.Mkapa baada ya kutumiwa na CCM

Wenye husda mmeanzisha threads nyingi juu ya uwanja wa Mkapa,roho zinawauma mpaka basi.
maintenance itatoka kwenye kodi zetu na sio kwa wana fisiemu aibu yakesho tunaibeba sisi kama taifa ......
 
Haaaaaaaaaaaaaaaa,sikua na furaha ila nimeipatia kwenye comment hii.

TumuanZishie lable huenda akaupeleka mziki wetu abroad kwenye "people's are used to die in lakes"
I'm just trying to be as funny as you are but I cant reach you
 
Stars watautumia huo uwanja kesho,,right?
 
maintenance itatoka kwenye kodi zetu na sio kwa wana fisiemu aibu yakesho tunaibeba sisi kama taifa ......
Kama patafanyiwa marekebisho basiusihofu,mambo yatakaa sawa.ni kwa jana tu CCM ilikuwa na jambo lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…