castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
maintenance itatoka kwenye kodi zetu na sio kwa wana fisiemu aibu yakesho tunaibeba sisi kama taifa ......Wenye husda mmeanzisha threads nyingi juu ya uwanja wa Mkapa,roho zinawauma mpaka basi.