Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
4RMama anaupiga mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
4RMama anaupiga mwingi.
Najaribu kuwaza kwenye hilo Jangwa Mzungu atakunya wapi? Hakuna hata vichaka.Wakati mama anapambana kupata wageni million 5 Tanapa wameshindwa kuweka maji tu CHOONI hapa Olduvai. What an embarrassing situation.
View attachment 3128388
Unaweza kukuta procurement inasumbuaWakati mama anapambana kupata wageni million 5 Tanapa wameshindwa kuweka maji tu CHOONI hapa Olduvai. What an embarrassing situation.
View attachment 3128388
Jiwe angeanza kumpoteza kwanza aliyepiga picha na kurusha mtandaoni. Usidanganye watuKipindi Cha jiwe mpaka muda huu mtu angeshaliwa kichwa,,lakini kwa bie mkubwa atasema hili nalomkalitizame ndugu zangu,hivi mnajua vizuri sekta ya utalii inachangia asilimia ngapi katika Pato la Taifa?? Mama kula kichwa cha mtu kwa uzembe huu..Mnatakaa Wazungu wakajisadie porini???
Jiwe hakuwa na shida na watoa Taarifa za wazembe,...Jiwe angeanza kumpoteza kwanza aliyepiga picha na kurusha mtandaoni. Usidanganye watu
Akili zangu hapo zinaniambia nitie kiberitiWakati mama anapambana kupata wageni million 5 Tanapa wameshindwa kuweka maji tu CHOONI hapa Olduvai. What an embarrassing situation.
View attachment 3128388
CCM NI MAFIIWakati mama anapambana kupata wageni million 5 Tanapa wameshindwa kuweka maji tu CHOONI hapa Olduvai. What an embarrassing situation.
View attachment 3128388
Mada yako ni nzuri lakini caption yako imekaa kinoko na kizandiki. Utakuwa mbeya sana wewe.mama anapambana
Alaaniwe alie kuzaaDuuu aibu naona mimi yaani hivi hawa CHADEMA wapo serious kweli?
Kama mambo madogo yanawashinda waachie madaraka Ili chama changu makini CCM wachukue hatamu
CHADEMA mlaaniwe pumbavu zenu!
Wanaweza kutengeneza matumbo yaoVyoo tu wanashindwa tengeneza
😄 mengine wataweza
Ova
Umemwelewa kweliAlaaniwe alie kuzaa
Kaingiaje hapa huyo aliyenizaa?Alaaniwe alie kuzaa
Nilichosema ni uongo??Mada yako ni nzuri lakini caption yako imekaa kinoko na kizandiki. Utakuwa mbeya sana wewe.