KERO Hali ya vyoo Olduvai Gorge inatisha, wageni wajisaidia nje

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Mamilioni ya pesa wanakusanya kwa siku.
Imagine mgeni analipa dola 71 na kutembelea hapo Olduvai gorge ni dola 36 kwa mgeni.
Halafu mgeni anaenda chooni hakuna maji na anashindwa kujisaidia kwa raha zake.
Bodi ya wakurugenzi na mhifadhi mkuu inatakiwa watoke kwenye viti vyao.
Tatizo nchi hii hakuna utamaduni wa kuwajibika,kubebana kwa kila namna.
 
dogo anayelala hapo anasemaje? ncaa huwa wana boza lao lazima lilete maji imekuaje? na hicho choo kinasaidia sana wagen mana kuna wakat nillipita hapo choon folen.kumejaa wazungu nikasema duh kama old trafford mzee. oua ncca vip wazee mbona aibu ndogo hii? maji si paleee kijijin yapo imekuaje tena.
 
Huyo Mkurugenzi na waziri wake wote wapigwe chini hakuna kazi wanayofanya
Kama kitu kidogo kabisa CHOO imewashinda wanawezaje kusimamia wizara?
Na hili nalo atasukumiwa lawama Mbowe na wenzake
Hahaha choo waziri ajiuzulu?

Kuna waziri watu wanauawa lipo tu linachekelea kama zuzuπŸ˜‚
 
Sasa hivi wanalindana
 
Mama hana uwezo. Sana sana atasema ''na hili nalo nendeni mkaliangalie''. Halafu watatumwa kumteka huyu aliyerekodi.
 
Mada yako ni nzuri lakini caption yako imekaa kinoko na kizandiki. Utakuwa mbeya sana wewe.
πŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈπŸ€¦β€β™‚οΈ
 
Nendeni kizimkazi achaneni na magofu ya Tanganyika😌
 
kumefungwa halafu panatisha dah,
mpotoshaji ametoka chuo gani cha cha uzushi i?

si wangechukua ufunguo getini πŸ’
Vyoo navyo vya sgr gentleman waambie wavifanyie usafi nk πŸ˜„
Hivi kwanini wabongo tunashindwa kuweka vyoo vyetu safi πŸ˜„


Ova
 
Vyoo navyo vya sgr gentleman waambie wavifanyie usafi nk πŸ˜„
Hivi kwanini wabongo tunashindwa kuweka vyoo vyetu safi πŸ˜„


Ova
usafi ni muhimu sana Lakini si upotoshaji mwepesi kama huo..

maeneo kama hayo ni hatari kuacha milango wazi kwasabb wanyama wabaya kama vile fisi au nyoka wanaweza kujibanza humo ndani na kuwadhuru watalii, na kwahivyo Lazima vifungwe na anaehitaji huduma ni muhimu achukue funguo pale getini. Ni rahisi sana mbona gentleman πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…