johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
KC Zitto Kabwe wa ACT wazalendo alitutangazia kwamba amepatwa na changamoto ya covid 19 na kwamba amejilockdown.
Leo ikiwa ni siku ya kuwatembelea wagonjwa na kuwaombea ni vema tukajulishwa hali yake kwani siyo rahisi kumfikia kwa changamoto aliyonayo.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Leo ikiwa ni siku ya kuwatembelea wagonjwa na kuwaombea ni vema tukajulishwa hali yake kwani siyo rahisi kumfikia kwa changamoto aliyonayo.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!