#COVID19 Hali ya Zitto Kabwe inaendeleaje baada ya kupata changamoto ya Corona?

#COVID19 Hali ya Zitto Kabwe inaendeleaje baada ya kupata changamoto ya Corona?

Ingekuwa aibu ya mwaka endapo Zito angejenga hoja ambayo kwa namna Moja au nyingine ingempa unafuu Mwenyekiti wa Chadema wakati WAFUASI wake wamekomaa wakiamini kutoa amri kwa Rais ndiyo njia Bora zaidi.
Nikimwangalia Mwenyekiti Hana mtu wa kumpambania anatakiwa apambane mwenyewe tofauti kama wao wangekuwa ndani najua angekuwa amesolve tatizo siku nyingi sana.
 
Pole pole na kabudi unawaacha wapi?hawa ni wanafiki wakutupwa kipindi cha katiba mpya walikuwa mbele kutuambia katiba mpya wakapewa ulaji na magu wakasema sio kipaumbele chao
Siku wakitoka kwenye uongozi utasikia wanaitetea katiba ya warioba
 
Back
Top Bottom