Ndugu wa na jf hili life chip la Wahindi ni shida Tupi. Had I sasa wanachuo hawajapata fedha ya kujikimu awamu ya pili. Si hilo tu, mambo kibao kama vile kuchakata matokeo ya wachuo kinyume na yalivyo tolewa na main campus, kutumia wakufunzi wasio na uwezo wa kufundisha wote wahindi. Wameshindwa kuajiri loan officer, wanachuo kitivo cha computer with edu husoma Nitalala ya India ktk somo education.
Ndugu serikali na wana habari wanajua tatizo hili. Hofu ni kubwa kwani udicteta ni Mkubwa!! Elimu imewekwa njiapanda badala yake biashara inaendelea!
Ufuatiliaji kuhusu lini Pesa za wanachuo zimelipwa umefanyika na kubaini kuwa vyuo vyote vimelipwa hawamu ya pili mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka Jana. Habari Ndo hiyo kama Kuna mwenye maoni, tunaomba ushauri wenu wa na janvi tuone la kufanya. Nawasilisha!!
Ndugu serikali na wana habari wanajua tatizo hili. Hofu ni kubwa kwani udicteta ni Mkubwa!! Elimu imewekwa njiapanda badala yake biashara inaendelea!
Ufuatiliaji kuhusu lini Pesa za wanachuo zimelipwa umefanyika na kubaini kuwa vyuo vyote vimelipwa hawamu ya pili mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka Jana. Habari Ndo hiyo kama Kuna mwenye maoni, tunaomba ushauri wenu wa na janvi tuone la kufanya. Nawasilisha!!