Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
🤣🤣🤣🤣 yaani bora ya janaKila kukicha afadhali ya jana
Ulimwengu unakupa shule hukumskia bi mkubwaAsiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu
Mimi huyo niliambiwa nisijaribu jaribu kuwajua wasichana nyumba zao sio nzuri Ni Giza Mimi nikampinga mama sa hivi nimeenda kumpa mimba mwanamke najuta Tena Ni single maza kanizidi umri Ni soo
🤣🤣🤣natamani kujua kimetokea niniMficha uchi....
🤣🤣🤣🤣Si kila kitu ni cha kuonja kwa ulimi
Daaah maisha yanafanya watu waabudu hata visivyoabudikaMipango sio matumizi..
Wakati nilivyokuwa mdogo akili yangu ilikuwa changa nilijiuliza kwanini huyu anakuwa tajiri huyu anakuwa masikini!? nikadhani masikini hawajitumi kumbe la hasha wanapambana na bado wanafeli maisha magumu jamani sijawahi kuona, ni kama nimekataa tamaa.
nimesali sana nimepigana sana lakini kila siku naenda chini zaidi
daaah maisha yanafanya watu waabudu hata visivyoabudika
Hata ukisali mungu bado anakusubiri wakati wake
🤣🤣🤣🤣Msemakweli ni mpenzi wa Mungu
imekuwaje tena mkuuBandu bandu humaliza gogo.
aiseee sasa hapo ushaumizwa tayari au^Heri wenye moyo safi^