Halii, haguni wala kutoa mlio wowote

Ana shida huyo.
Mi niliwahi kupata mtoto mmoja wa morogoro kilosa moja hiyo.

Alikua akileta hizo pigo an kimya kimya.
Nilimkalisha chini nikampa makavu live.
Nikamfunda nikamwambia fanya hata unaigiza kama umeshindwa kabisa.. alinielewa nahisi huko alipo ananishukuru
 
itakua pambano lilikua mysterio na big show. sasa nani big show jibu unajua menyewe
 
Maandalizi๐Ÿค
 
Kwani lengo lako alikuwa alie au wewe kuridhika kulipwa hela yako?!
 
Majibu yote yapo kwa huyo Malighafi asiyelia. JF ni kubashiri tu mwisho wakwambie kilema ukumbwe na msongo wa mawazo๐Ÿ˜†. Usikute malighafi nyaya za mawasiliano zililegea.

Sikufundishi, Nakukumbusha tu. ๐Ÿ‘‹
 
Huenda hajui jamni
Mapenz nayo sanaa muulize Huwa anajisikiaje alisema anaenjoy bas hajui anachotakiwa kufanya mfundishe
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ