carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Maandalizi๐คKama nimekosea jukwaa samahanini sana, jioni ya leo nimekutana na mhalifu wangu aliyenitia hasara za hapa na pale.
Sasa kwenye kumwadhibu akawa ananichora tu, amerelax, halii, hacheki, haguni wala kutoa ishara yoyote kuashiria kipigo kinamwingia.
Hali hii imenikatisha tamaa.
Masimango hayaCha kumliza unacho? Toka lini kipigo cha bamia kikauma.mtwange na muhogo mzito mzito uone
Manyanyaso hayaCha kumliza unacho? Toka lini kipigo cha bamia kikauma.mtwange na muhogo mzito mzito uone
Si haba ninacho kama kidole gumbaCha kumliza unacho? Toka lini kipigo cha bamia kikauma.mtwange na muhogo mzito mzito uone
Kwanini mkuuManyanyaso haya
๐๐๐Mkuu piga banzi la sikioni kushoto kwa chini karibia na taya halafu ulete majibu
Ni ubaguzi wa hali ya juuKwanini mkuu
HahahaKama nimekosea jukwaa samahanini sana, jioni ya leo nimekutana na mhalifu wangu aliyenitia hasara za hapa na pale.
Sasa kwenye kumwadhibu akawa ananichora tu, amerelax, halii, hacheki, haguni wala kutoa ishara yoyote kuashiria kipigo kinamwingia.
Hali hii imenikatisha tamaa.
Oke okeJf inahitaji maombi
Picha iko wapi likidaka mawimbiUna uhakika antena ipo? Inadaka mawimbi vizuri??