Halii, haguni wala kutoa mlio wowote

Halii, haguni wala kutoa mlio wowote

Ana shida huyo.
Mi niliwahi kupata mtoto mmoja wa morogoro kilosa moja hiyo.

Alikua akileta hizo pigo an kimya kimya.
Nilimkalisha chini nikampa makavu live.
Nikamfunda nikamwambia fanya hata unaigiza kama umeshindwa kabisa.. alinielewa nahisi huko alipo ananishukuru
 
itakua pambano lilikua mysterio na big show. sasa nani big show jibu unajua menyewe
 
Kama nimekosea jukwaa samahanini sana, jioni ya leo nimekutana na mhalifu wangu aliyenitia hasara za hapa na pale.

Sasa kwenye kumwadhibu akawa ananichora tu, amerelax, halii, hacheki, haguni wala kutoa ishara yoyote kuashiria kipigo kinamwingia.

Hali hii imenikatisha tamaa.
Maandalizi🤝
 
Screenshot_2024-05-26-15-12-33-303_com.facebook.lite~2.jpg
 
Kwani lengo lako alikuwa alie au wewe kuridhika kulipwa hela yako?!
 
Majibu yote yapo kwa huyo Malighafi asiyelia. JF ni kubashiri tu mwisho wakwambie kilema ukumbwe na msongo wa mawazo😆. Usikute malighafi nyaya za mawasiliano zililegea.

Sikufundishi, Nakukumbusha tu. 👋
 
Huenda hajui jamni
Mapenz nayo sanaa muulize Huwa anajisikiaje alisema anaenjoy bas hajui anachotakiwa kufanya mfundishe
 
Kama nimekosea jukwaa samahanini sana, jioni ya leo nimekutana na mhalifu wangu aliyenitia hasara za hapa na pale.

Sasa kwenye kumwadhibu akawa ananichora tu, amerelax, halii, hacheki, haguni wala kutoa ishara yoyote kuashiria kipigo kinamwingia.

Hali hii imenikatisha tamaa.
Hahaha
 
Back
Top Bottom