Halii, haguni wala kutoa mlio wowote

Halii, haguni wala kutoa mlio wowote

kama ni mwalifu mpeleke kituo cha polisi, usichukue sheria mkononi... hasira hasara。
 
Ndiyo, mara 2 na hajalia hata kidogo zaidi ya kujitikisa tikisa.
Una moyo.

Hapo kuna mawili:
1. Ndivyo alivyo. Kuna wanawake wapo hivyo wao hata ufanye nini hawaguni wala hawatoi sauti wala ushirikiano wa aina yoyote.
2. Hana feelings nawewe amekupa basi tu maana labda umemsumbua sana, au anataka kuendelea kukuchuna.
 
Una moyo.

Hapo kuna mawili:
1. Ndivyo alivyo. Kuna wanawake wapo hivyo wao hata ufanye nini hawaguni wala hawatoi sauti wala ushirikiano wa aina yoyote.
2. Hana feelings nawewe amekupa basi tu maana labda umemsumbua sana, au anataka kuendelea kukuchuna.
Aisee
 
labda una njaa ndo mana huwezi kumwadhibu inavyotakiwa, jaribu kula kisamvu kwanza labda ataguna
 
Kama nimekosea jukwaa samahanini sana, jioni ya leo nimekutana na mhalifu wangu aliyenitia hasara za hapa na pale.

Sasa kwenye kumwadhibu akawa ananichora tu, amerelax, halii, hacheki, haguni wala kutoa ishara yoyote kuashiria kipigo kinamwingia.

Hali hii imenikatisha tamaa.
Hana hisia nawew full stop
 
labda una njaa ndo mana huwezi kumwadhibu inavyotakiwa, jaribu kula kisamvu kwanza labda ataguna
0DB8EEC9-6DD1-4933-BA6C-D24F35A6FFF3.jpeg
 
Bado ujasema huyo baladhuri anatokea wapi Kwanza
1 Jana kwa mgole m/nyamala nzese buza na vianga vyake.hapo inabidi ukubali kushindwa mkuu
2 ilikua unamuzibu kwa njia ipi
3 mbuzi mende dog 🐕 Ila usije kuwa umekwenda kimboka
 
Kama nimekosea jukwaa samahanini sana, jioni ya leo nimekutana na mhalifu wangu aliyenitia hasara za hapa na pale.

Sasa kwenye kumwadhibu akawa ananichora tu, amerelax, halii, hacheki, haguni wala kutoa ishara yoyote kuashiria kipigo kinamwingia.

Hali hii imenikatisha tamaa.
Gonga mlango wa Nyuma. Lazma atasema kitu
 
Back
Top Bottom