ukute ni wa kukuwadiana...
he he hujakosea utakuwa sheikh yahya wewe.Kimwana kuwadi wa domo na siku domo akikosa mwali wa kumrara halima aingia mzigoni kampangishia nyumba .
Tuwaache wararane!!
he he hujakosea utakuwa sheikh yahya wewe.Kimwana kuwadi wa domo na siku domo akikosa mwali wa kumrara halima aingia mzigoni kampangishia nyumba .
Tuwaache wararane!!
Juzi kati Diamond alimfanyia party ya kufa mtu dada mmoja ivi anafahamika kwa jina la kimwana mwanywele kwenye sherehe yake ya kuzaliwa, hawa watu sijui wana mahusiano gani, maana nilisikiaga kwa mda mrefu ukaribu wao ila sikubahatika kujua ukaribu wao unasababishwa na nini, kwa sababu najua siyo wapenzi wala hawana undugu wowote.
samahani kama hutojali
wewe ni jinsia gani?
unaelimu gani?
unajishughulisha na nini mjini?
that's all
Teh teh akikupa jibu nistue
samahani kama hutojali
wewe ni jinsia gani?
unaelimu gani?
unajishughulisha na nini mjini?
Kaka ukae ukijua,magazeti ya Shigongo yanapunguza nguvu za kiume.
that's all
ha ha ha ha ha ha mkuu umenichekesha sana huyu ni mwanaume?Magazeti ya Shigongo yanapunguza nguvu za kiume
maana mkuu nimestuka jinsi alivyo interested na private issue za watu namna hii sijapata kuona mtu unaguswa na kufwatilia mambo ya watu namna hii aisee
ha ha ha ha ha ha mkuu umenichekesha sana huyu ni mwanaume?