KIPS: Kumbe elimu ya HIV and AIDS bado huijui......Nikuulize swali moja mwenye HIV akiwa anaendesha gari na akapata ajali na kufariki kifo chake kitaandikwa kimesabishwa na nini?
Tangu RTD nakumbuka.
May all beings attain enlightenment.
Masters: HALIMA MCHUKA HAS INSPIRED US TODAY!
Kipis, this is unethical!. Unamaanisha ndio mlikutana hapo Dar Group kwenye kupokea dose ya ARV?!. Acha uwongo!.Dah! Kitambo sana tangu aanze kuumwa hata kabla tbc haijazinduliwa wala dalili ya kuwepo. Ni ngoma imemuondoa hiyo kiarusi wanazuga tu kuna siku ila kitambo sana niliwahi kukutana nae pale dar group hospital. Sisi ni wa Mwenyezi mungu na kwake ndipo marejeo ya viumbe wote.
Kipis, mimi ni mtu wa karibu na familia hii, sikuwahi kulisikia hili!. Hata kama nikweli, Jee ndio maadili hayo uliyofundisha kudisclose status ya mgonjwa!. Yaani unataka kumnyanyapaa hadi marehemu!.Ifike wakati tubadirike wa jamani. Watu watajuaje ukimwi unatesa kisha unauwa kama wale wenye kufa na hayo maradhi tunaambiwa walikuwa wanaumwa kiharusi? kwani ngoma si kama magonjwa mengine tu kama malaria, kansa,gono kaswende na mengineyo?
kipis, this is unethical!. Unamaanisha ndio mlikutana hapo dar group kwenye kupokea dose ya atv?!. Acha uwongo!.
R.i.p halima mchuka,2nakumbuka sana kwa utangazaji wako!wasalimie Benikiko na Suatu Luanda.