Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ifike wakati tubadirike wa jamani. Watu watajuaje ukimwi unatesa kisha unauwa kama wale wenye kufa na hayo maradhi tunaambiwa walikuwa wanaumwa kiharusi? kwani ngoma si kama magonjwa mengine tu kama malaria, kansa,gono kaswende na mengineyo?
Mkuu una hakika na unachokisema au imetoka redio kifua?Dah! Kitambo sana tangu aanze kuumwa hata kabla tbc haijazinduliwa wala dalili ya kuwepo. Ni ngoma imemuondoa hiyo kiarusi wanazuga tu kuna siku ila kitambo sana niliwahi kukutana nae pale dar group hospital. Sisi ni wa Mwenyezi mungu na kwake ndipo marejeo ya viumbe wote.
![]()
Nahisi atakuwa huyu wa katikati aliyeshika simu nimejaribu kuoanisha sauti yake tamu na umbo lake.R I P Halima Mchuka.
blood blood from fromje anahusiana na mwajuma mchuka wa ATC?
:ranger::A S 114:
RIP H.M.