Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Halima Mdee ahoji Uwanja wa CCM Kirumba kukarabatiwa kwa fedha za umma
Awali, Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma (Mwana FA) alisema “Uwanja wa CCM Kirumba ni mmoja wa Viwanja vitano vilivyo kwenye mpango wa maboresho ili kukidhi viwango vya CAF, Wizara ipo katika mazungumzo na mmiliki ili kukubaliana namna ya kugharamia na kuviendesha viwanja hivyo.”
Aidha, amesema Uwanja huo utawekewa taa ili kuweza kutumika wakati wa usiku.
Pia soma