Leo umeamka uko kwenye mwezi nadhani! Pole maana level ya iron inapungua katika hali hiyo na function of the brain follows suit!Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Ulinzi wa polisi ndio kibali chenyewe bwashee!Jogging sio maandamano, nayo yapo kisheria hayahitaji kibali zaidi ya ulinzi wa polisi.
Wewe ukiwa kwenye mwezi brain yako inasimama!Leo umeamka uko kwenye mwezi nadhani! Pole maana level ya iron inapungua katika hali hiyo na function of the brain follows suit!
Kwani naandika ujinga ? Kuna vipimo vya kuonesha kuwa kwenye mwezi na brain ikasimama 😀 😀 😀 😀 😀 ...Talk sense please, write sense please!Wewe ukiwa kwenye mwezi brain yako inasimama!
Hahahaaaa........!Kwani naandika ujinga ? Kuna vipimo vya kuonesha kuwa kwenye mwezi na brain ikasimama 😀 😀 😀 😀 😀 ...Talk sense please, write sense please!
Mwalimu Nyerere aliondoka na CCM, hiki kilichopo sasa ni genge la kihalifu linalotegemea mitutu ya bunduki kuendelea kutawala.Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Kama Chadema ni dhaifu hivyo kwanini Mbowe yuko jela mwezi wa tatu huu kwa kesi ya kutunga?
Kama Chadema ni dhaifu hivyo kwanini Bawacha kila wakifanya jogging mnatetemeka?
Kama Chadema ni dhaifu kwanini mnachoma ofisi zao kila siku?
Kama Chadema ni dhaifu kwanini mnaisema sema huko lumumba kila dakika?
CDM wana hoja gani kwa sasa? Ya kupinga kila kitu?Mtasumbuka sana aisee ila ukweli ni kwamba kitu walichokosa chadema ni jeshi tu la kupambana na jeshi la ccm ila kama ni sera na hoja wana hazina ya kutosha kulisha Tz hii miaka 100!
🤣🤣🤣
Sababu namba 1 ya jamaa kulilia mikutano ya hadhara, ili wawakamue waTZ, hamna cha ziada🤣🤣🤣
Sagurasagura.....kombakomba hiyo....
Lema bado anachangisha huko Canada.....
🤣🤣Wajanja wa mjini hao.....Sababu namba 1 ya jamaa kulilia mikutano ya hadhara, ili wawakamue waTZ, hamna cha ziada
Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Kama chadema imekufa mbona kwenye chaguzi mnatumia mabegi meusi?