Mtasumbuka sana aisee ila ukweli ni kwamba kitu walichokosa chadema ni jeshi tu la kupambana na jeshi la ccm ila kama ni sera na hoja wana hazina ya kutosha kulisha Tz hii miaka 100!
Kwanini kuongelea kilichokufa, huwa kinakutokea kama popobawa?Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Sawa mpuzi mmoja!!!Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Wengi hatukujui kwa kukuonaKiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Tulia mkuu, CHADEMA IPO MOTO KULIKO JANA NAKWAMBIAKiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Covid 19 wapo kma watoto yatima wasiojua kesho wataishije,mzee halima amesaulika n kupoteaKiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]ingekuwa inasua sua mngewakamata Wanawake wa BAWACHA CHADEMA Wakifanya JOGGING?Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Baadae Patrobas Katambi akaidhoofisha Bavicha kwa kuhamia chama dume CCM.
Halima James Mdee akapigilia msumari wa mwisho kwa kusepa na kijiji kizima cha Bawacha.
Mungu ibariki CHADEMA!
Hata mimi niliachana na chadema tangu wakati huo, niliwaona ni wababaishaji tu.Kiukweli udhaifu wa CHADEMA ulianzia pale Balozi Wilbroad Slaa alipoamua kuachana na siasa za majukwaani.
Wangegawana nchi kama mbwa mwitu wanavyogawana mawindo yao, kila na chake kadri ya uwezo wake wa kujikatia.Hao ndio walikuwa wanang'ang'ania Nchi, wangechukua nchi ingekuaje?
Hiyo labda ama ni hisia tu ya johnthebaptist au ni njia mojawapo ya kumuomboleza dhalimu mwendakuzimu.Kwanini kuongelea kilichokufa, huwa kinakutokea kama popobawa?
Hahahaaaa....... Jumaa kareem bwashee!Hiyo labda ama ni hisia tu ya johnthebaptist au ni njia mojawapo ya kumuomboleza dhalimu mwendakuzimu.
Thread kama hii ya johnthebaptist ni uthibitisho tu wa jinsi walivyokumbwa na kiwewe na wanavyotaabika.
- La kwanza la hakika ni kwamba aliyetaka kuia Chadema ndiye kafa na kuzikwa huku Chadema ikiendelea kudunda.
- La pili la hakika ni kwamba waliopanga kusherehekea kifo cha Chadema ndio bado wanaomboleza kumpoteza kiongozi wao.
- La tatu la hakika ni kwamba waumini wote waliohusika na mpango huo haramu kama johnthebaptist wamechanganyikiwa.