Halima Mdee amtafutia Lulu wakili


Kweli towashi ww km jina lako na mawazo yako ya kiseng* tu!
 

Halima Mdee anataka kuoga matope akidhani atapata umaarufu kwa hili, she's wrong. Hata hivyo kinachoniuma ni kwamba wapinzani wa kisiasa wanaweza kutumia kosa hilo kuchafua chama chetu makini CDM. Very bad!
 

Ww hujatulia. Mbona yanakutoka mengi hivyo kumtetea lulu? Marehemu pia ana haki zake ktkt hili. Cha msingi tusubiri uchunguzi ukamilike ili haki itendeke pande zote 2. Acha ushabiki, majonzi ya Mama Kanumba ni makubwa klk ya Mama Lulu.
 

I strongly support Mama Ngina!
 

Nimependa sana hoja zako.
 
.
..........Tukichelewa tu...... watamtangaza mwenye heri........

hahahaha.....hiyo nayo kali, ni kweli unayosema maana duniani kuna vituko kila kukicha!
Kila mmoja anatafuta umaarufu kupitia mgongo wa tukio fulani.
 
ingekuwa vyema kama mheshimiwa mbunge kama mwakilishi wa wananchi wote bila kujali umri, jinsia nk angejitolea kwa uwezo wake wote kuhakikisha kwamba kunakuwa na fair trial na kwamba pande zote zinazohusika zinatendewa haki... tatizo la wanasiasa wengi ni kujaribu ku-capitalise kwenye situation yoyote kwa ajili ya political gain
 
Na muunga miguu yote Halima ,lakini mbona ni kwa lulu tu mbona kuna watoto wengi wananyimwa haki zao na anasikia kila siku lakin hafanyi chochote,isije ikawa ni kutafuta umaarufu .
 
Nimependa sana hoja zako.

Looks like Mlitika has edited his post, you can have it clean. Mwanzo nilikuwa nimepata shida kuunganisha mawazo yake lakini sasa naona kayapanga poa! It is a good argument!
 
Mahakama zenyewe ndo hizi zilizomnyanganya lema ubunge eti kwa sabb ya kutukana?! huyo halima misifa tu hana lolote!:A S-omg:
 
Mahakama zenyewe ndo hizi zilizomnyanganya lema ubunge eti kwa sabb ya kutukana?! huyo halima misifa tu hana lolote!:A S-omg:


Kabla ya msaada wowote Lulu abinywe hadi amtaje huyo Mr. "X" kama Mlitika anavyomwita. Stori yote iko hapo eti!
 
Ana haki ya kusaidiwa... Wasiwasi wangu hawa wasaidiz mbona hawakujitokeza kumsaidia binti wakati anaharibikiwa kimaisha? Naunga mkono asaidiwe na tufikiri kinyumenyume, kama lulu ndo angefia mikoni mwa R.I.P Kanumba ingekuaje?
 
JF bwana....
Huyu Halima angekuwa ni Mbunge wa CCM ungeojna jinsi watu wangemchalula humu ndani,ungesikia tu ooh hana kazi za kufanya,anaacha kutekeleza ahadi alizoahidi mwaka 2010 anakazana kujiapiza kumsaidia Mtuhumiwa,lkn ksbb ni wa kwetu basi watu tuna'tend kushabikia kila anachokifanya hata kama si utumbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…