Kawaida sana!Wanasiasa ni zaidi ya bongo movie, utakuta jioni mnyika na mdee wanakutana kula vyombo
Kwahiyo ni wanatuigizia tuKawaida sana!
“Ni MUHIMU sana KUJIANDAAA kabla ya kufanya CHAMBUZI za CAG. Ukiwa haujajipanga vyema, unaweza jikuta unaongea UPUUZI. Na Mwenye DHAMANA akiongea UJINGA , anaidhalilisha TAASISI aliyopewa DHAMANA kuiongoza. Ushauri wa BURE,CAG ameongea mambo makubwa na mazito. Do your HOMEWORK”. Halima Mdee.
View attachment 2584422
Kwani fomu zilizomuingiza Mdee bungeni zina saini ya Kiongozi gani wa Chadema?Mdee ame panic.
Huyo mhujumu uchumi kaumizwa na ukweli wa Mnyika, anywe maji baridi atulie.
Tuambie ww.Kwani fomu zilizomuingiza Mdee bungeni zina saini ya Kiongozi gani wa Chadema?
Muulize kada wenu Mdee bwashee.Kwani fomu zilizomuingiza Mdee bungeni zina saini ya Kiongozi gani wa Chadema?
Labda jiniKwani fomu zilizomuingiza Mdee bungeni zina saini ya Kiongozi gani wa Chadema?
Ebu iwekeKuna chat moja ujaweka, kabla ya hiyo
MWANAMKE KUWA MSALITI NI HATARI SANA“Ni MUHIMU sana KUJIANDAAA kabla ya kufanya CHAMBUZI za CAG. Ukiwa haujajipanga vyema, unaweza jikuta unaongea UPUUZI. Na Mwenye DHAMANA akiongea UJINGA , anaidhalilisha TAASISI aliyopewa DHAMANA kuiongoza. Ushauri wa BURE,CAG ameongea mambo makubwa na mazito. Do your HOMEWORK”. Halima Mdee.
View attachment 2584422
Wanasiasa ni zaidi ya bongo movie, utakuta jioni mnyika na mdee wanakutana kula vyombo
Halima alikuwa na thamani kipindi yup cdm kwa wenye akili“Ni MUHIMU sana KUJIANDAAA kabla ya kufanya CHAMBUZI za CAG. Ukiwa haujajipanga vyema, unaweza jikuta unaongea UPUUZI. Na Mwenye DHAMANA akiongea UJINGA , anaidhalilisha TAASISI aliyopewa DHAMANA kuiongoza. Ushauri wa BURE,CAG ameongea mambo makubwa na mazito. Do your HOMEWORK”. Halima Mdee.
View attachment 2584422
Nawachukia sana kwa usaliti waliowafanyia watanzania.Wana hasira maana wanajuwa Hawarudi tena mjengoni...na wameshikilia uzi muda wowote......
Nchi ngumu sana hiiLabda jini
cdm ya thamani ilikuwa enzi za Dr.slaa.alipoondoka mzee makini slaa Basi Yule wa kudumu akakivuruga vuruga kwa Mambo yake ya umachinga!! kwa Sasa imebaki jina tu lkn empty kabisa!Halima alikuwa na thamani kipindi yup cdm kwa wenye akili