Halima Mdee: Bawacha vitoto vya juzi

Halima ndee hutufai kabisa katika nchi hii, tunaomba ustaafu siasa wewe ni mbinafsi na wa hovyo kupita kiasi, Watanzania tumekuchukia sana toka ulivyoshikilia kidedea watanzania wasipewe ardhi
CHADEMA ni chama Cha ajabu sana wale wao wanaowaona hawafai ndio huwa vipenzi vya watanzania wapenda Siasa na mabadiriko rejea
Zitto kabwe
Dokta Slaa
Harima mdee
Esta Bulaya
 
Yeyote anayeharibu au anayehujumu haki za watanzania huyo ni adui wetu sote bila kujali chama chake cha siasa wala sauti yake kavu wala umbo au rangi
itakuwa umemaliza masomo na hujapata hata sehemu ua ku volunteer …mnakuwaga Wazalendo sana …ila mkipata kichochoro mnakuwa zaid ya Mchwa kwny rasilimali za Nchi
 
Huyo lucy owenya na grace kihwelu wamewahi kuwa wabunge wa majimbo gani?
 
..kwanini haulizwi ameingiaje bungeni?

..kikao gani cha chama kiliwapendekeza?

..Watz tuna tabia ya kuruhusu na kuvumilia mambo ya kijingajinga na kutouliza maswali ya msingi.
Wao wanajua waliingiaje . Kama ww unapinga, uende mahakamani.
 
itakuwa umemaliza masomo na hujapata hata sehemu ua ku volunteer …mnakuwaga Wazalendo sana …ila mkipata kichochoro mnakuwa zaid ya Mchwa kwny rasilimali za Nchi
Nimefanya kazi miaka 9 taasisi binafsi Tanzania, nikawa mjasiriamali knye kilimo mkubwa kwa miaka 5 , kikanishinda kwa sababu ya mifumo mibaya nikaondoka Tanzania nafanya biashara zangu nje ya nchi kwa miaka 8 sasa tena kwa ufanisi sana . Kwa hiyo nawatetea vijana waliokosa fursa na wanaoishi maisha magumu wakati wana nia na juhudi za kazi
 
CHADEMA ni chama Cha ajabu sana wale wao wanaowaona hawafai ndio huwa vipenzi watanzania wapenda Siasa na mabadiriko rejea
Zitto kabwe
Dokta Slaa
Harima mdee
Esta Bulaya
Yaani hawa kabisa hapa sioni afadhali maana wote wanasikilizia maslahi binafsi tu, Jiwe alimhonga Mdee na wenzake ubunge akawasiliti chadema wote na Watanzania waliowaunga mkono bila kuwa na aibu yeyote , halafu leo mtu anishauri eti nimsikilize
 
Kama mmiliki wa saccos kashindwa mpaka anaomba huruma ya Mama Samia hawa chawa wataweza
 
Aisee natamani hiyo 2025 ifike haraka Hawa wasaliti watupishe. Wanatia sana hasira yaani wanafanya uasi alafu wanaleta ujeuri.

Ndio maana natamani Lissu au Heche wapewe uenyekiti sidhani kama huu utumbo ungelelewa. Yaani ilitakiwa unamkamata mmoja kwa mahojiano yaani ni kipigo mpaka ataje Kila kitu na ramani nzima ilikuaje.

Haya mambo bila kuwa serious tutaendelewa kuchezewa na CCM
 
Wao wanajua waliingiaje . Kama ww unapinga, uende mahakamani.

..waandishi wa habari wanatakiwa wawaulize waliingiaje bungeni.

..waandishi wadadisi na mahiri wangekuwa wameshafanya uchunguzi na kujua nani aliwezesha Halima na wenzake kuingia bungeni.
 
wote humu kupitia story zenu si mnakaa Masaki na Ostybay, mna marafiki zenu Wazungu mlipokutana nao kwny biashara zenu wakashangaa urasimu wa kiserikali

kila mmoja alipiga chini kazi Serikalini akafanya mishe zake na sasa hivi mambo yake poa na ana biashara katika Nchi kadhaa za kusini mwa jangwa la Sahara

sie Wazee wa fitna tukipitia post na comments zako mbili tatu tuna uwezo wa ku draft 80% ya CV yako tukakuachia eneo la jina na tarehe ya kuzaliwa

Wewe ni 'dhoful haaali kichwani hadi mfukoni' na ndio sababu una wenge kwa vitu vidogo vidogo …
 
Niezaliwa Arusha familia ya kati, nimefanya kazi kampuni nzuri tu Tanzania nikaacha nikajitegemea knye kilimo Songea na Rukwa , sijawahi kuishi Dar ninakuja tu knye mikutano na vikao, nimeishi Morogoro, Mbeya na Rukwa na nimejenga kote huko, 2016 Magufuli alipoingia nikaondoka Tanzania nikafungua biashara zangu za utalii na logistic hapa na USA ndo wasifu wangu mdogo sana . SINA MAKUU WALA SIFAKE LIFE . NATETEA SANA WAKULIMA NINAKIPENDA NA NAONA FURSA KUBWA SANA ILA SERA MBOVU NA MIFUMO MIBAYA NDO MAANA NATETEA SANA SERA MPYA
 
Sisi CDM damu damu hatutaki Halima afukuzwe - wanaotaka afukuzwe wataondoka wao
 
Wenye pesa hawajitetei sana kwanza muda huo hawana


sijui familia ya kati sijui ya Pembeni achana na hizo

comments zako humu zingetosha kabisa kujua kama mi familia ya kati au ya pembeni
 
...ndiyo maana tunaendelea kumlilia JPM kwa sababu wajinga wajinga kama hao alikuwa akimalizana nao kwa utaratibu kama unaoutamani.
 
Nani baina yao alianza kuwa mwana Chadema
Whatever, hana justification ya kutoa kauli zile. Ukishakuwa mtu mzima, you have already crossed the line of childhood and you need adult treatment, respect for that matter
 
Aache upumbavu, anadhani yeye ni mkubwa kuliko Chama? Ajiandae kisaikolojia, yajayo yanafurahisha.
 
Kama mmiliki wa chama Mbowe anatokwa jasho kwa muziki wa Covid19, hao Bawacha ni kina nani? Halima Mdee endelea kukaza hadi waombe poo.
NB: Halima ni mkubwa kuliko Bawacha + Heche.
Daa ila huyu maza, chadema msimwache! anamapande akikupa unatafuna unashiba...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…