Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA ni chama Cha ajabu sana wale wao wanaowaona hawafai ndio huwa vipenzi vya watanzania wapenda Siasa na mabadiriko rejeaHalima ndee hutufai kabisa katika nchi hii, tunaomba ustaafu siasa wewe ni mbinafsi na wa hovyo kupita kiasi, Watanzania tumekuchukia sana toka ulivyoshikilia kidedea watanzania wasipewe ardhi
itakuwa umemaliza masomo na hujapata hata sehemu ua ku volunteer …mnakuwaga Wazalendo sana …ila mkipata kichochoro mnakuwa zaid ya Mchwa kwny rasilimali za NchiYeyote anayeharibu au anayehujumu haki za watanzania huyo ni adui wetu sote bila kujali chama chake cha siasa wala sauti yake kavu wala umbo au rangi
Wao wanajua waliingiaje . Kama ww unapinga, uende mahakamani...kwanini haulizwi ameingiaje bungeni?
..kikao gani cha chama kiliwapendekeza?
..Watz tuna tabia ya kuruhusu na kuvumilia mambo ya kijingajinga na kutouliza maswali ya msingi.
Nimefanya kazi miaka 9 taasisi binafsi Tanzania, nikawa mjasiriamali knye kilimo mkubwa kwa miaka 5 , kikanishinda kwa sababu ya mifumo mibaya nikaondoka Tanzania nafanya biashara zangu nje ya nchi kwa miaka 8 sasa tena kwa ufanisi sana . Kwa hiyo nawatetea vijana waliokosa fursa na wanaoishi maisha magumu wakati wana nia na juhudi za kaziitakuwa umemaliza masomo na hujapata hata sehemu ua ku volunteer …mnakuwaga Wazalendo sana …ila mkipata kichochoro mnakuwa zaid ya Mchwa kwny rasilimali za Nchi
Yaani hawa kabisa hapa sioni afadhali maana wote wanasikilizia maslahi binafsi tu, Jiwe alimhonga Mdee na wenzake ubunge akawasiliti chadema wote na Watanzania waliowaunga mkono bila kuwa na aibu yeyote , halafu leo mtu anishauri eti nimsikilizeCHADEMA ni chama Cha ajabu sana wale wao wanaowaona hawafai ndio huwa vipenzi watanzania wapenda Siasa na mabadiriko rejea
Zitto kabwe
Dokta Slaa
Harima mdee
Esta Bulaya
Wao wanajua waliingiaje . Kama ww unapinga, uende mahakamani.
wote humu kupitia story zenu si mnakaa Masaki na Ostybay, mna marafiki zenu Wazungu mlipokutana nao kwny biashara zenu wakashangaa urasimu wa kiserikaliNimefanya kazi miaka 9 taasisi binafsi Tanzania, nikawa mjasiriamali knye kilimo mkubwa kwa miaka 5 , kikanishinda kwa sababu ya mifumo mibaya nikaondoka Tanzania nafanya biashara zangu nje ya nchi kwa miaka 8 sasa tena kwa ufanisi sana . Kwa hiyo nawatetea vijana waliokosa fursa na wanaoishi maisha magumu wakati wana nia na juhudi za kazi
Niezaliwa Arusha familia ya kati, nimefanya kazi kampuni nzuri tu Tanzania nikaacha nikajitegemea knye kilimo Songea na Rukwa , sijawahi kuishi Dar ninakuja tu knye mikutano na vikao, nimeishi Morogoro, Mbeya na Rukwa na nimejenga kote huko, 2016 Magufuli alipoingia nikaondoka Tanzania nikafungua biashara zangu za utalii na logistic hapa na USA ndo wasifu wangu mdogo sana . SINA MAKUU WALA SIFAKE LIFE . NATETEA SANA WAKULIMA NINAKIPENDA NA NAONA FURSA KUBWA SANA ILA SERA MBOVU NA MIFUMO MIBAYA NDO MAANA NATETEA SANA SERA MPYAwote humu kupitia story zenu si mnakaa Masaki na Ostybay, mna marafiki zenu Wazungu mlipokutana nao kwny biashara zenu wakashangaa urasimu wa kiserikali
kila mmoja alipiga chini kazi Serikalini akafanya mishe zake na sasa hivi mambo yake poa na ana biashara katika Nchi kadhaa za kusini mwa jangwa la Sahara
sie Wazee wa fitna tukipitia post na comments zako mbili tatu tuna uwezo wa ku draft 80% ya CV yako tukakuachia eneo la jina na tarehe ya kuzaliwa
Wewe ni 'dhoful haaali kichwani hadi mfukoni' na ndio sababu una wenge kwa vitu vidogo vidogo …
Wenye pesa hawajitetei sana kwanza muda huo hawanaNiezaliwa Arusha familia ya kati, nimefanya kazi kampuni nzuri tu Tanzania nikaacha nikajitegemea knye kilimo Songea na Rukwa , sijawahi kuishi Dar ninakuja tu knye mikutano na vikao, nimeishi Morogoro, Mbeya na Rukwa na nimejenga kote huko, 2016 Magufuli alipoingia nikaondoka Tanzania nikafungua biashara zangu za utalii na logistic hapa na USA ndo wasifu wangu mdogo sana . SINA MAKUU WALA SIFAKE LIFE . NATETEA SANA WAKULIMA NINAKIPENDA NA NAONA FURSA KUBWA SANA ILA SERA MBOVU NA MIFUMO MIBAYA NDO MAANA NATETEA SANA SERA MPYA
...ndiyo maana tunaendelea kumlilia JPM kwa sababu wajinga wajinga kama hao alikuwa akimalizana nao kwa utaratibu kama unaoutamani.Aisee natamani hiyo 2025 ifike haraka Hawa wasaliti watupishe. Wanatia sana hasira yaani wanafanya uasi alafu wanaleta ujeuri.
Ndio maana natamani Lissu au Heche wapewe uenyekiti sidhani kama huu utumbo ungelelewa. Yaani ilitakiwa unamkamata mmoja kwa mahojiano yaani ni kipigo mpaka ataje Kila kitu na ramani nzima ilikuaje.
Haya mambo bila kuwa serious tutaendelewa kuchezewa na CCM
Whatever, hana justification ya kutoa kauli zile. Ukishakuwa mtu mzima, you have already crossed the line of childhood and you need adult treatment, respect for that matterNani baina yao alianza kuwa mwana Chadema
Aache upumbavu, anadhani yeye ni mkubwa kuliko Chama? Ajiandae kisaikolojia, yajayo yanafurahisha."....Bawacha wengi wao pale ni vitoto vya juzi kwenye game ambavyo kwa namna vinavyopiga kelele wala sipaswi kuhangaika navyo kwa sababu natambua ngoma ya mtoto huwa kamwe haikeshi."
Mheshimiwa Halima Mdee (MB).
==========
Dar es Salaam. Wakati Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), wakiandamana kina Halima Mdee waondolewe bungeni, mbunge huyo amesema hao ni ‘watoto wa juzi na hawajui alikotoka’.
“Unajua watoto hawatakiwi kunyimwa usingizi, ndio maana siwajibu wengi wanaopiga talalila ‘kelele’ wamenikuta mjomba napiga mzigo pale (Chadema). Wametamani baada ya mzigo kutema, ukishakuwa mkubwa huwezi kuangaika na watoto, wanasema unawaacha,”amesema Mdee.
Mdee aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Bawacha kwa nyakati tofauti ameeleza hayo leo Jumanne Mei 16, 2023 wakati akihojiwa na Wasafi TV jijini Dodoma. Katika maelezo yake, Mdee amesisitiza kuwa yeye bado ni Chadema ‘for life’.
Katibu Mkuu wa Bawacha, Catherine Ruge amemjibu kwa kusema sio sahihi kuzungumza kauli kama hizo, hata hivyo, akasema waswahili wana msemo unaosema ‘mfamaji haishi kutapa tapa.’ Ruge amedai Mdee ameonyesha dharau kwa Bawacha kusema waliondamana ni watoto.
“Katika yale maandamano kulikuwa na kina mama ambao Mdee aliwakuta katika chama, wakiwemo Mama Kimaro, Suzan Kiwanga, Grace Kiwelu na Lucy Owenya, Je wakati huo wangesema yeye mtoto hafai kuwa mbunge angejisikiaje? tunaona ni dharau,”amesema Ruge.
Mei 11, mwaka huu viongozi wa Bawacha na wanachama wengi wa Chadema walifanya maandamano yaliyoanzia Posta ya zamani hadi ofisi ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam, kushinikiza Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson kuwaondoa wabunge 19 waliofukuzwa uanachama na kupoteza sifa ya kuwa wabunge.
Maandamano hayo yamefanyika wakati kesi ya wabunge hao kupinga kuvuliwa uanachama ikiendelea katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, ambapo inatarajiwa kutajwa tena hapo kesho Mei 17.
Mbunge huyo, aliyewahi kuhudumu ubunge wa jimbo la Kawe kwa miaka 10, amesema yeye ni Chadema ‘for life’, akisema inawezekana kuna watu hawataki arudi katika chama hicho, lakini watake wasitake yeye bado ni Chadema.
“Mimi ni Chadema ‘for life’, tunawasiliana na Chadema seniors (waandamizi), alisema Mdee ambaye aliwahi kuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema.
Alipoulizwa kuhusu Serikali kutumia fedha kuwalipa yeye na wenzake 18 wanaodaiwa kuwa hawapo kihalali bungeni, Mdee alisisitiza kuwa wapo kihalali bungeni, ndio maana suala lao lipo mahakamani.
“Hivi kweli wakili makini na matata kama Peter Kibatala, hivi kunaweza kusiwe na zuio la mahakama, halafu mahakamani kukapoa? sio rahisi, ni maneno ya barabarani huwa sipendagi kuangaika nayo, ningehangaika nayo leo ningekuwa chizi,”amesema Mdee.
Mdee na wenzake 18 walivuliwa uanachama wa Chadema Novemba 27, 2020 baada ya kubainika katiba na kanuni za chama hicho kwa uamuzi wao wa kwenda kuapishwa kuwa wabunge wa Viti Maalum bila chama hicho kuwapitisha.
Mbali na Mdee, wengine ni Grace Tendega, Esther Matiko, Ester Bulaya, Cecilia Pareso, Hawa Mwaifunga, Jesca Kishoa, Nusrat Hanje, Kunti Majala, Felister Njau, Naghenjwa Kaboyoka, Sophia Mwakagenda, Kunti Majala, Stella Fiao, Anatropia Theonest, Salome Makamba na Conchesta Rwamlaza.
Chanzo: Mwananchi
Does that justfy kuwaita watot? yeye si vile vile alitanguliwa na watu chadema?Nani baina yao alianza kuwa mwana Chadema
Daa ila huyu maza, chadema msimwache! anamapande akikupa unatafuna unashiba...Kama mmiliki wa chama Mbowe anatokwa jasho kwa muziki wa Covid19, hao Bawacha ni kina nani? Halima Mdee endelea kukaza hadi waombe poo.
NB: Halima ni mkubwa kuliko Bawacha + Heche.