Hao Siyo WanachamaChadema nao wasanii tu, jambo kama hili linachukuaje muda mrefu kufikia maamuzi.
Mwenyekiti wako ataruhusu,tuone utafanyaje sasa.CHADEMA wasiwaruhusu hawa wasaliti
Dah wanakula kiulaini tuuView attachment 2986568
Baraza kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, limethibitisha uamuzi wa kamati kuu ya chama hicho cha upinzani Tanzania na kuwavua uanachama wabunge 19 wa viti maalumu wanawake.
Je, Mdee baada ya kusemekana kushawishi wenzake wanataka kurudi kuomba Msamaha CHADEMA , tunajiuliza, Wamelipwa mabilioni isivyo halali, je hayo mabilioni yamewaumiza CHADEMA pekee ama sisi wananchi walipa kodi?
Je, Kuomba msamaha inatosha ama wazitapike mishahara haramu waliyopokesa kwa miaka 4 sasa?
Je, watu hawa unaweza kuwaamini na kukaa nao kwenye kamati hata ya "kusafisha chii cha shimo"?
Wabunge hao wanawake walifukuzwa uanachama Novemba 27, 2020 baada ya kwenda kuapishwa bungeni kuchukua nafasi 19 za viti maalumu ambazo zilisusiwa na CHADEMA.
Halima Mdee[ring leader], Gire Tendega, Matiko, ulaya, Lambart, Mke wa Kitenge yaani Nusrat Hanje, Jesca kishoa,Tunza malapo, Asia mohammed, Kaboyoka, Felister njau,Salome makamba. Rwemlaza konjessta,Antropia, Stella fiao
Ina laana lakini.Dah wanakula kiulaini tuu
Laana wapi mkuu watu wanakula maisha tu, hata siku moja hatujawahi sikia wamepata hasara yoyote zaidi ni kila mwezi tu akaunt zinasomaIna laana lakini.
Wakirudishwa ndiyo mwisho wa Chadema.View attachment 2986568
Baraza kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, limethibitisha uamuzi wa kamati kuu ya chama hicho cha upinzani Tanzania na kuwavua uanachama wabunge 19 wa viti maalumu wanawake.
Je, Mdee baada ya kusemekana kushawishi wenzake wanataka kurudi kuomba Msamaha CHADEMA , tunajiuliza, Wamelipwa mabilioni isivyo halali, je hayo mabilioni yamewaumiza CHADEMA pekee ama sisi wananchi walipa kodi?
Je, Kuomba msamaha inatosha ama wazitapike mishahara haramu waliyopokesa kwa miaka 4 sasa?
Je, watu hawa unaweza kuwaamini na kukaa nao kwenye kamati hata ya "kusafisha chii cha shimo"?
Wabunge hao wanawake walifukuzwa uanachama Novemba 27, 2020 baada ya kwenda kuapishwa bungeni kuchukua nafasi 19 za viti maalumu ambazo zilisusiwa na CHADEMA.
Halima Mdee[ring leader], Gire Tendega, Matiko, ulaya, Lambart, Mke wa Kitenge yaani Nusrat Hanje, Jesca kishoa,Tunza malapo, Asia mohammed, Kaboyoka, Felister njau,Salome makamba. Rwemlaza konjessta,Antropia, Stella fiao
Wakirudi Chadema ndiyo utakuwa mwisho wa Chadema.View attachment 2986568
Baraza kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, limethibitisha uamuzi wa kamati kuu ya chama hicho cha upinzani Tanzania na kuwavua uanachama wabunge 19 wa viti maalumu wanawake.
Je, Mdee baada ya kusemekana kushawishi wenzake wanataka kurudi kuomba Msamaha CHADEMA , tunajiuliza, Wamelipwa mabilioni isivyo halali, je hayo mabilioni yamewaumiza CHADEMA pekee ama sisi wananchi walipa kodi?
Je, Kuomba msamaha inatosha ama wazitapike mishahara haramu waliyopokesa kwa miaka 4 sasa?
Je, watu hawa unaweza kuwaamini na kukaa nao kwenye kamati hata ya "kusafisha chii cha shimo"?
Wabunge hao wanawake walifukuzwa uanachama Novemba 27, 2020 baada ya kwenda kuapishwa bungeni kuchukua nafasi 19 za viti maalumu ambazo zilisusiwa na CHADEMA.
Halima Mdee[ring leader], Gire Tendega, Matiko, ulaya, Lambart, Mke wa Kitenge yaani Nusrat Hanje, Jesca kishoa,Tunza malapo, Asia mohammed, Kaboyoka, Felister njau,Salome makamba. Rwemlaza konjessta,Antropia, Stella fiao
Wendelee kula walikoenda kuchezagaaa🤓View attachment 2986568
Baraza kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, limethibitisha uamuzi wa kamati kuu ya chama hicho cha upinzani Tanzania na kuwavua uanachama wabunge 19 wa viti maalumu wanawake.
Je, Mdee baada ya kusemekana kushawishi wenzake wanataka kurudi kuomba Msamaha CHADEMA , tunajiuliza, Wamelipwa mabilioni isivyo halali, je hayo mabilioni yamewaumiza CHADEMA pekee ama sisi wananchi walipa kodi?
Je, Kuomba msamaha inatosha ama wazitapike mishahara haramu waliyopokesa kwa miaka 4 sasa?
Je, watu hawa unaweza kuwaamini na kukaa nao kwenye kamati hata ya "kusafisha chii cha shimo"?
Wabunge hao wanawake walifukuzwa uanachama Novemba 27, 2020 baada ya kwenda kuapishwa bungeni kuchukua nafasi 19 za viti maalumu ambazo zilisusiwa na CHADEMA.
Halima Mdee[ring leader], Gire Tendega, Matiko, ulaya, Lambart, Mke wa Kitenge yaani Nusrat Hanje, Jesca kishoa,Tunza malapo, Asia mohammed, Kaboyoka, Felister njau,Salome makamba. Rwemlaza konjessta,Antropia, Stella fiao
Walifukuzwa toka 2020 ulikuwa hufahamu hili?Chadema nao wasanii tu, jambo kama hili linachukuaje muda mrefu kufikia maamuzi.
Mkuu kwa mazingira ya kuwepo kwao Bungeni kwa wakati ule ni dhari uligubikwa na nguvu za Serikali; hivyo CHADEMA walishughulikie suala hil kwa kuzingatia mwenendo wa kiutawala wa wakati ule na namna walivyopatikana. Aidha kuomba msamaaha ni moja ya Mhusika kutambua kosa lake. NB: Wanachama wengine na viongozi wa Chama walikimbia Nchi.Cheers!
Kama hao watatu wamegoma sasa CHADEMA warudishe kesi kwa wananchi.
Lissu atoe tamko!
Sawa Mkuu, lakini sio wote.Kina Mdee wanunue bahasha ya A3 watumbukize mishahara yao ya mwezi mmojammoja huku wakifunga mizinga miwili ya konyagi kwenye gift box na kumkabidhi mmiliki wa CHADEMA Mbowe. Wakati wanamkabidhi bahasha na mizinga ya Konyagi ndo wamwombe msamaha. Hiyo ishu ndogo sana wakifuata huu ushauri wangu. CHADEMA inawahitaji sana kina Mdee kuliko kina Mdee wanavyoihitaji CHADEMA.
Mkuu ndio ilikuwa nia ya hao walio wa apisha akina H. Mdee ni KUIUA CHADEMA, lakini bado ipo. Watumie chekeche kuwa chekecha wakati wa kuwa rudisha kuwa Wanachama tenaWakirudishwa ndiyo mwisho wa Chadema.
Wakirudi Chadema ndiyo utakuwa mwisho wa Chadema.
Huyo atakuwa amewapunguzia kazi watoa MSAMAHAMwingine kajitangaza juzi bungeni na kawashukuru CCM walivyo mpokea Kwa shangwe na vigele hele.
Ujue 75% ya Covid hawajaoelwa na wengi ni above 43 years?Wendelee kula walikoenda kuchezagaaa🤓
Mbowe kashikilia uzi, CCM wanataka wachomeke mwenyeki awe kiongozi wa Baraza kuu alafu awarudishe UVIKO kutoka huko waliposema majuzi walipo.Wakirudishwa ndiyo mwisho wa Chadema.
Wakirudi Chadema ndiyo utakuwa mwisho wa Chadema.
Infact JIWE ndio alitumia misuli kuwaingza na wapo kwa nguvu ya jiwe.Mkuu kwa mazingira ya kuwepo kwao Bungeni kwa wakati ule ni dhari uligubikwa na nguvu za Serikali; hivyo CHADEMA walishughulikie suala hil kwa kuzingatia mwenendo wa kiutawala wa wakati ule na namna walivyopatikana. Aidha kuomba msamaaha ni moja ya Mhusika kutambua kosa lake. NB: Wanachama wengine na viongozi wa Chama walikimbia Nchi.