Halima Mdee: Mifuko ya Jamii hoi, pensheni hatihati kulipwa

Usininukuu kirahisi hivyo.
Tunahitaji Chama mbadala na serikali itakayojenga mifumo imara ya Kidemokrasia yenye kujali maendeleo ya watu.
Chadema imenajisiwa na Uroho wa Mbowe kukwepa Demokrasia ndani ya Chama huku akiwatanguliza wenzake kupigania Demokrasia toka kwa Mwenyekiti wa CCM Chama cha Kijamaa kisicho na Demokrasia nje ya Chama lakini ndani ya Chama kiliasisiwa kidemokrasia na kinajitahidi kwa kiwango japo kidogo.

Mbowe angekua na Dola angekuwa ni kama Mungu asiyehojiwa na mtu yeyote mbinguni na duniani.
Hatutaki viongozi kama hao mana ndio wanaozuia watu kuhoji na kudai haki zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dada ni moja ya wAbunge waliohangaikia sana amani ya maisha yao! Inatia huruma. Mungu atamsimamia! Hata akikosa Ubunge, Mungu atamfungulia njia pengine!
 
Nimecheka sana.
Na Mimi sina shaka na uzoefu wake??
Awamu ya tatu imepita Mbowe yupo!
Awamu ya nne Mbowe yupo!
Ya Tano ,yupoo!!
Nachoka kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…