Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Kwangu mimi Halima Mdee Mdee naweza kusema ndiye mwanamama jembe na shupavu asiyeogopa na hata hachoshi kumsikiliza. Ni moja ya wanawake shupavu sana nchini na msaada mkubwa sana katika bunge letu la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.
Huyu Mwanamama ni msomi mwanasheria mwenye uwezo mkubwa sana kisiasa. Ameonyesha mchango mkubwa sana kwa mwanamke wa kitanzania. Ndiye aliyesababisha leo chama chake cha CHADEMA wagombea wa kike ni wengi sana majimboni kupita vyama viingine vya siasa nchini. Amewatia ujasiri mkubwa sana Wanamama nchini.
Kumpoteza Halima Mdee bungeni ni kupoteza rasilimali muhimu sana ingawa naamini najua bado chama chake watamrudisha kupitia viti maalum.
Huyu Mwanamama ni msomi mwanasheria mwenye uwezo mkubwa sana kisiasa. Ameonyesha mchango mkubwa sana kwa mwanamke wa kitanzania. Ndiye aliyesababisha leo chama chake cha CHADEMA wagombea wa kike ni wengi sana majimboni kupita vyama viingine vya siasa nchini. Amewatia ujasiri mkubwa sana Wanamama nchini.
Kumpoteza Halima Mdee bungeni ni kupoteza rasilimali muhimu sana ingawa naamini najua bado chama chake watamrudisha kupitia viti maalum.