JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Hawa mabinti wote ni wa kupiga chini mwaka huu.View attachment 3214924
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, akifurahi jambo na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Mhe. Halima Mdee Jijini Dodoma leo tarehe 26 Januari, 2025.
Hii picha mume wa Tulia ameona?View attachment 3214924
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, akifurahi jambo na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Mhe. Halima Mdee Jijini Dodoma leo tarehe 26 Januari, 2025.
Ee eh eh he heee weee kuwa na heshima bwana🤣🤣Hii picha mume wa Tulia ameona?
Ama Esther Bulaya ameiona?
Huenda ikaleta mtafaruku.
Tundu Lissu ametutoa mbali.View attachment 3214924
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, akifurahi jambo na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Mhe. Halima Mdee Jijini Dodoma leo tarehe 26 Januari, 2025.
Wala hawamisi hao covid19.hapo lisu amini macho yake
Mwisho wa hizi sarakasi ni Julai, huyo Mdee ndio ameenda kufa kisiasa. Kama wangevumilia tu miezi 2 ile JPM angekata moto na baada ya maridhiano mbona wangeenda tu bungeni kwa baraka za chama.View attachment 3214924
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, akifurahi jambo na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Mhe. Halima Mdee Jijini Dodoma leo tarehe 26 Januari, 2025.
Amini???hapo lisu amini macho yake
ni kama anapoteza fahamu anaposhuhudia 4R zinavyo kita nangaAmini???
Amini maana yake nini?ni kama anapoteza fahamu anaposhuhudia 4R zinavyo kita nanga
kijana usitafute dialogue za kijinga na wazeeAmini maana yake nini?
Dr unaandika amini macho yake ukimaanisha haamini macho yake,futa hiyo title ya DRkijana usitafute dialogue za kijinga na wazee
ulinilipia karo kijanaDr unaandika amini macho yake ukimaanisha haamini macho yake,futa hiyo title ya DR