Ile dance ilikuwa Baab kubwaaaHakuna vibe litakalokaa lizidi ile ‘dansi’ ya Anna Makinda Na Lissu, ile ni moment yangu bora kisiasa nchi hii ya muda wote.
Taifa lilipokuwa na upendo, watu walibishana kwa hoja na sio risasi.
mkuu Kuna jamaa yangu aliwahi kumkuta Kwa nabii fulan simtaji kwenye maombi ya ndoa Kwa hiyo unaweza ukamjaji bila kujua maumivu anayopitia.Yaani mwanamke hataki bwana wala kuolewa, lakini hapo hapo anamingo na wake za watu kwa ukaribu na wivu mkubwa mnoo, jamii imuelewaje?
Viti maalumu kivipi ebu tupe ufafanuzi hapaView attachment 3214924
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, akifurahi jambo na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Mhe. Halima Mdee Jijini Dodoma leo tarehe 26 Januari, 2025.
Atapewa Udc ccmMwisho wa hizi sarakasi ni Julai, huyo Mdee ndio ameenda kufa kisiasa. Kama wangevumilia tu miezi 2 ile JPM angekata moto na baada ya maridhiano mbona wangeenda tu bungeni kwa baraka za chama.
Kwa sasa kejeli ni nyingi ila oktoba ni kulia na kusaga meno
Yeah ni Kweli Wadada wazuri wasomi na maarufu mbele za watu huwa wanajifanya hawana shida, lakini moyoni wana maumivu na hamu ya kuolewa. Sema ndio hivyo tenamkuu Kuna jamaa yangu aliwahi kumkuta Kwa nabii fulan simtaji kwenye maombi ya ndoa Kwa hiyo unaweza ukamjaji bila kujua maumivu anayopitia.
Tuonjeshe aisee. Natamani kuliona. Dansi halisi la moyoni sio hilo la Paka na panya wa siku hiziHakuna vibe litakalokaa lizidi ile ‘dansi’ ya Anna Makinda Na Lissu, ile ni moment yangu bora kisiasa nchi hii ya muda wote.
Taifa lilipokuwa na upendo, watu walibishana kwa hoja na sio risasi.
Mkuu funguka vizurii ni kama kitu unataka kusema ila bado hujasema. Sijakuelewa Mkuu.Hii picha mume wa Tulia ameona?
Ama Esther Bulaya ameiona?
Huenda ikaleta mtafaruku.
Naona buana Mdee ana ring hapo kidoleni.View attachment 3214924
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, akifurahi jambo na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Mhe. Halima Mdee Jijini Dodoma leo tarehe 26 Januari, 2025.
kabsa mkuu ni vile wanakufa na tai shingoniYeah ni Kweli Wadada wazuri wasomi na maarufu mbele za watu huwa wanajifanya hawana shida, lakini moyoni wana maumivu na hamu ya kuolewa. Sema ndio hivyo tena
Tuonjeshe aisee. Natamani kuliona. Dansi halisi la moyoni sio hilo la Paka na panya wa siku hizi
Enzj zile siasa zilikuwa za Upendo kabla ya Ibilisi kutushambulia.
View attachment 3215014Asante sana Nifah nimefurahi sana.