Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

Mzee alisema ukiona unasifiwa fisiwa na aliyekuwa mkali wako basi kutafakari zaidi ya mara kumi na mbili kisha chukua hatua stahiki!! Na ukiona mtoto anakuvamia na kukipiga kifi jua baba yake yupo karibu... Take care na weka pembeni kwa namna yoyote...
Pili ikifuatwa katiba hakuna wa kulaumu hapo sisi hatutegemei busara tunategemea maelekezo ya kikatiba ndani ya chama...
 
Iwe hivyo, chama kitakuwa kimetimiza wajibu wake. Watasalia kuwa wabunge wa Mahakama/CCM/Serikali, maana serikali ndiyo inawahitaji zaidi
 
Hakuna kisiki chochote ni upuuzi tu, kwa mujibu wa Katibu Mkuu John Mnyika alieleza kwamba kwa ile katiba yao ya Chadema ni kwamba inaweza ikawaita kuwapa nafasi ya kujitetea lakini pia wanaweza wasiwaite na maamuzi watakayotoa pia ni sahihi.

Nafkiri kama leo hawakuja kwenye wito wafukuziliwe mbali tujenge chama chetu. Kama Dr Slaa he was good for northig, lowassa, Mashinji itakuwa mdee
 
yaani unaonyesha kiwango cha wivu ulionao! Wa Mpanda alifanya kampeni ya kushindwa? mara paap akashunda au? bila kupambania katiba! Haya ni maigizo tuu. Serikali na nchi wala havitasimama, waacheni hao walau tupata hadhira ya kupaza sauti !

Hii uliyoandika nini? Very disappointing
 
Halima Mdee anaogopa kwenda kujitetea ,niliwaambia jana humu mpaka wapewe maelekezo na Jiwe na tiss yake ndio watafika au kutofika . Halima Mdee njoo utoe ushahidi Mbowe alikuruhusu kama ulivyosema bungeni wakati wa kuapishwa . Acha chenga Mbowe ndio huwa anaruhusu kwenda bungeni ? Au kamati kuu ? Njoo na ushahidi wa maandishi kwamba Mbowe alikuruhusu? Chama kinaendeshwa kwa vikao kikao kipi kirikuruhusu we Pimbi ? Fukuza haraka hawana cha kujitetea hao wakawe wabunge wa viti maalum vya Ndugai .
 
Uko dunia ya wapi mkuu?
 
Mnyika na Kamati Kuu kazi nyepesi fukuza.
MImi nawashangaa sana CCM MWENYEKITI WAO KAFUKUZA WATU KAZI KWA VYETI BANDIA ETI WANASHABIKIA KUWA NAWABUNGE WAKUFORGE SAHIHI TUACHE KUWA NDUMI FUKUZA WAHUNI HAWA TUKIWAACHA WATAUWA CHAMA
 
watuachie chama chetu hao kina mama.

Halima ndiyo keshajimaliza kisiasa hivyo.
 
Kikao kinafanyika sa ngap ?? Mpak sasa alasiri near to down but nothing new , in short hakuna kikao , na Mnyika kafyata mkia ..... Nimekiri wazi perhaps Mbowe engineering all the speculation...Tangu sa mbili , ooh fukuza fukuza ...wanashindwa nn kutoa tamko issue iburst into flames.... Hakuna kikao hapo na Mbowe ndo mastermind of the game
 
MaCCM mmemuona kiboko yenu Mbowe kwenye kikao cha kamati kuu CHADEMA.
Semeni lingine sasa, waunga juhudi tunawapa hao, sie hatuishi na wasaliti nyumba moja. FUKUZAAA..!
 
Nasikia hii mianamke mikaidi na misaliti inataka Jumatatu kuamkia mahakamani ili wasifukuzwe uanachama kwa miaka mitano na wala wasijadiliwe
Vipi wakienda mahakamani kupinga wasifukuzwe,hizo trillion mbili zitatolewa na wafadhili.
 
Mimi bado naamini Mdee na wenzake hawajajipeleka wenyewe. Huu mchezo ni highly calculated. Haya yanayotokea yalishafahamika.

Tafuteni pesa mtengeneze future zenu. Msiwekeze miili na mioyo yenu kwa wanasiasa.
 
Mimi bado naamini Mdee na wenzake hawajajipeleka wenyewe. Huu mchezo ni highly calculated. Haya yanayotokea yalishafahamika.

Tafuteni pesa mtengeneze future zenu. Msiwekeze miili na mioyo yenu kwa wanasiasa.
Umeongea point
Inawezekana viongozi wamezidiana kwenye mgao
Lakini mnyika anajua yote
Mbona mpaka muda huu wako kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…