Halima Mdee na wenzake 18 wagoma kufika Kamati Kuu ya chama kwa madai ya kupokea vitisho toka kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA

The law doesn’t exist or live, in a vacuum. Nor does it materialise out of thin air. The law is based on a society’s norms, which are drawn from its dominant civilization.

Norms are fountains of knowledge and wisdom in which the law is sheathed. The law can protect you, or harm you. Like a sword, it’s double-edged and cuts both ways. It’s indeterminate.

That’s why laws and norms are end products of political processes. They are the distillation of social, ethical, religious or class-based interests of elites.

Often, laws are a class imposition by a hegemonic group, or elites in society over subordinate, or subaltern, strata.
 
Wakifukuzwa kama Watson’s hawakutendewa haki watakwenda mahakamani simple.
 
Harakati zinaendelea
Rais aliamua aanza na hili lililokua limebeba propaganda za kutumaliza kwa kwa kasi

Aliamua kuanza na hili wakati hili halina hata mwaka, aache hilo gonjwa lenye miaka? Uza ubongo huo maana unachekesha walionuna.
 
Nenda ww maana pia ni mwanamke ili ukachape kazi. Shubamiit.
Wameshakwenda sasa. Mezeni Nyembe.Hata mkiwafukuza uanachama ni sawa na bure. Maana hapa Tanzania. Speaker anapendekezwa na Rais/mwenyekiti wa chama. Jaji mkuu anateuliwa na Rais/mwenyekiti wa chama. Kwa taarifa yako JPM ndo katiba ndo sheria. Mnakumbuka yule mbunge wa Kutoka Mtwara mlivyomfukuza uaanachama what happened ?
 
Ccm inapigania nini nyambafuuu
 
Fukuzia mbali hiyo COVID-19!View attachment 1635835
Hili bango lina consequences zake kisheria. Mtanzania yeyote ana haki ya kufungua kesi kuhusiana na maandishi ya bango hilo na akasikilizwa. Hayupo mtu yeyote duniani au mtanzania yeyote ambaye anaweza akalingwanishwa na COVID 19. Huu ni ukiukaji mkubwa sana wa haki za binadamu, tena si kwa ngazi ya ki-Taifa tu bali pia kimataifa. Hiki chama sasa kinaanza kutafuta sehemu ya maziko yake, maana sasa hata ile hekima ya kawaida tu inaanza kukipiga chenga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…