Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Naunga mkono hoja mkuu.Yes!!!
Ni mianamke tena malaya!!!
Wakifukuzwa kama Watson’s hawakutendewa haki watakwenda mahakamani simple.Halima Mdee ni mwanamke shujaa, msomi na mwanasheria, anaijua katiba ya Chadema, na vikao vya mamlaka ya nidhamu ni kama ifuatavyo...
Halima na genge lake they are very right, Chadema ilizoea kufanya mambo kienyeji, leo imekutana na kisiki cha mpingo!.
- Kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ili kumvua mtu uanachama kuna mlolongo wa kanuni na taratibu za kufuatwa na miongoni mwake ni hizi nitakazo ziorodhesha hapa chini, jee zilifuatwa?.
- Kuandaa Hati ya Mashtaka kwa maandishi yenye tuhuma zote ambazo mtuhumiwa anakabiliwa nazo. Jee hati hizi za mashitaka kimaandishi ziliandaliwa?.
- Hati hiyo ya mashitaki kimaandishi inatakiwa ikabidhiwa kwa mtuhumiwa kwa "despatch" ili kuthibitisha imemfikia, jee hili lilifanyika?, nimesikia kuna watu waliitwa kwa simu, jee huu ndio utaratibu kwa jambo zito kama hili?.
- Mtuhumiwa atatakiwa kuzijibu tuhuma za mashitaka hayo ndani ya kipindi cha siku 14 tangu tarehe aliyopokea barua ile ili apate muda wa kutosha kutafakari, jee hili litafanyika?.
- Baada ya majibu ya hati ile ya mashitaka kurejeshwa, ndipo mamlaka ya nidhamu ingepaswa kuitisha kikao rasmi kwa mujibu wa katiba na kumwalika mtuhumiwa kwa barua ili kuwapa nafasi ya kujieleza na kumsikiliza kabla ya kufikia maamuzi!. Jee this time Chadema itafuata taratibu?.
P
mamako!.DJ kajificha Nairobi na Lema Beberu Mrs Amsterdam yupo Brussels, Ben Kigaila yupo India
Kamati kuu ipi sasa[emoji3]?
Isijekuwa matapeli.
Saccos imekushinda. Hangaika na saccos dada achana na Chama Dume!Kiburi cha jiwe wakala wa shetani kimetamalaki katika taifa hili.
Jibu hoja acha matusi ya kitoto!mamako!.
Kwan Hilda nae kaapishwa? Huyo hayumo kwenye wale 19Wasaliti hawa lazima wafukuzwe haraka.
Hilda Mwakagenda sikujua kuwa wewe Ni bonge la snitch
Harakati zinaendelea
Rais aliamua aanza na hili lililokua limebeba propaganda za kutumaliza kwa kwa kasi
Huyu naye ni Bawacha au?Fukuzia mbali hiyo COVID-19!View attachment 1635835
If you die today, there will never be tomorrow.Let it be.
Hao matusi ndio nýumbaniLeo Makamanda waliopigania chama zaudi yako unawaita "mianamke".
Ukome kabisa na matusi yako
Hapa utakuwa unamzungumzia muheshimiwa mungu wa kabudi.Mungu awalinde Mdee na bulaya hakika wameikomboa Chadema.
Wameshakwenda sasa. Mezeni Nyembe.Hata mkiwafukuza uanachama ni sawa na bure. Maana hapa Tanzania. Speaker anapendekezwa na Rais/mwenyekiti wa chama. Jaji mkuu anateuliwa na Rais/mwenyekiti wa chama. Kwa taarifa yako JPM ndo katiba ndo sheria. Mnakumbuka yule mbunge wa Kutoka Mtwara mlivyomfukuza uaanachama what happened ?Nenda ww maana pia ni mwanamke ili ukachape kazi. Shubamiit.
Ccm inapigania nini nyambafuuuMkuu huu mchezo utaisha hivihivi kihuni, kitendo cha kutosoma,kusikia wala kumuona Mbowe popote kwenye hii ishu ya akina Mdee ni picha tosha ya kinachoendelea. Tatizo wafuasi wengi wa CHADEMA ni kama mna amini CHADEMA ilikuwa inapigania maslahi ya wananchi. Hapo ndo mlipokosea, Ila Mungu si Athumani hii ishu itawafumbua macho. Kama ya kubadili gia angani ya Lowassa haikuwafumbua macho.
Hili bango lina consequences zake kisheria. Mtanzania yeyote ana haki ya kufungua kesi kuhusiana na maandishi ya bango hilo na akasikilizwa. Hayupo mtu yeyote duniani au mtanzania yeyote ambaye anaweza akalingwanishwa na COVID 19. Huu ni ukiukaji mkubwa sana wa haki za binadamu, tena si kwa ngazi ya ki-Taifa tu bali pia kimataifa. Hiki chama sasa kinaanza kutafuta sehemu ya maziko yake, maana sasa hata ile hekima ya kawaida tu inaanza kukipiga chengaFukuzia mbali hiyo COVID-19!View attachment 1635835
Hata pambaru mwenyewe hajahudhuria kikao pamoja na zile kiki za juzii.Mnaishi kwa propaganda za kipuuzi!
Leo sio sauti ya zege? Halima pambana na kutetea haki za wanawake kudhalilishwa.Yes!!!
Ni mianamke tena malaya!!!