Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
Sheria namba ngapi?Hawawezi kuomba msamaha alafu wabakie bungeni!!?
ni lazima watoke kule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria namba ngapi?Hawawezi kuomba msamaha alafu wabakie bungeni!!?
ni lazima watoke kule
Ubunge ni lazima kwa sababu wameshaapishwa!Ni Jambo jema. Cha msingi wasikilize chama Chao, ubunge Sio lazima.
Leo Mbowe na Msigea wakiteuliwa ubumge na mkulu wataenda Bungeni huku wanakimbia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA mh. Halima James Mdee na wenzake 18 wamekata rufaa kupinga kuvuliwa uanachama na kamati kuu ya chama hicho.
Chanzo: Mwananchi
My take; Hongereni kwa kuzingatia muda.
Maendeleo hayana vyama!
Wako 19! Halafu inshu yao imetokea wkt wa janga la covid 19! Ambao ni ugonjwa mbaya wakujifukiza. Name brandedIla wamebatizwa jina baya Covid 19!
Hata wakate rufaa kwa Mungu sisi hatuwataki hawatakubaliwa. Waende ACT au CCMWabunge wa viti maalumu kupitia CHADEMA mh. Halima James Mdee na wenzake 18 wamekata rufaa kupinga kuvuliwa uanachama na kamati kuu ya chama hicho.
Chanzo: Mwananchi
My take; Hongereni kwa kuzingatia muda.
Maendeleo hayana vyama!
Afadhali angesema mtu mwingine, siyo huyo Mahela kada wa CCM.Mahela alisema alipelekewa na J J Mnyika!
Sasa ndio utajua pesa hushinda keleleKusamehewa tafsiri yake ni kukubaliana na ubunge wao
Wamechagua Umalaya, kuchakazwa ni halali yao.Mungu awajalie tonge lisiwaponyoke, mtaani maisha taiti Sana watachakazwa
Kuwatoa washtakiwa magereza usikuUnayajua majukumu ya DPP lakini?!
Kwani magereza hakuna taa?!Kuwatoa washtakiwa magereza usiku
Nyie mnaitwa sitaki natakaMsamaha upite wajutie makosa na kuomba radhi. Kisha mambo mengine yaendelee
Sahihi kabisa hayo maigizo yao ni kuchokoziKulikuwa hakuna haja ya kukata rufaa waendelee tu kuwatumikia waliowatuma maana watawalinda kama walivyoahidiwa.
Kwani katiba ya Chadema inasemaje?!Sahihi kabisa hayo maigizo yao ni kuchokozi
Ni mbinu au technic ya kijanja inayoitwa 'tick tack'. Yaani unamzungusha mpinzani wako kwa muda mrefu hadi anapata kizunguzungu na kukosa pumzi kabla hujaweka goli kimiani. Mzunguko uko hivi:ni dhamira zao binafsi ndio zimewasukuma kusubiri kukata rufaa siku ya mwisho?