Pre GE2025 Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Pre GE2025 Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kutokana na kampeni za kijinga zinazoendelea hapa JF na kwingineko, za kutaka Msaliti Mdee na Wasaliti wenzake warejeshwe Chadema, Imebidi tumelazimika kuja kutoa Ufafanuzi.

Halima Mdee na wenzake, akiwemo Dadaangu Sophia Mwakagenda, Walifukuzwa Chadema na kuvuliwa Uanachama na Vikao halali vya Chama, kwa tuhuma za Aibu za Usaliti na Rushwa ya pesa Taslimu pamoja na kuhongwa Madaraka ya Ubunge (Waliapishwa gereji na Ndugai)

Screenshot_2023-10-24-17-23-11-1.png

Usaliti walioufanya hawa Wamama umesababisha hasara kubwa kwa Nchi na kilichokuwa Chama chao, Chadema imeitisha vikao kadhaa vya dharula vyenye gharama kubwa kwa ajili ya kuwajadili, zimefunguliwa kesi za gharama kubwa mno huku wao wakilipwa mishahara batili na kulindwa na CCM na Serikali yake, Nani hajui hili?

Hawa hawastahili kusamehewa hata na Shetani na wala hatuna haja ya kupoteza muda kuwajadili tena.

Bali Ifahamike kwamba Walishafukuzwa Chadema tena hadharani, Viongozi wa Chadema kuhudhuria Msiba wa Mama Theresia Mdee aliyekuwa Mwanachama wa Chadema hakuhusiani chochote na Usaliti wa Mtoto wake.

Tumeona tuliweke wazi hili ili kuhitimisha chokochoko za Mamluki kila mahali .

KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI-JK NYERERE
 
Kutokana na kampeni za kijinga zinazoendelea hapa JF na kwingineko, za kutaka Msaliti Mdee na Wasaliti wenzake warejeshwe Chadema, Imebidi tumelazimika kuja kutoa Ufafanuzi.

Halima Mdee na wenzake, akiwemo Dadaangu Sophia Mwakagenda, Walifukuzwa Chadema na kuvuliwa Uanachama na Vikao halali vya Chama, kwa tuhuma za Aibu za Usaliti na Rushwa ya pesa Taslimu pamoja na kuhongwa Madaraka ya Ubunge (Waliapishwa gereji na Ndugai)

View attachment 3063995

Usaliti walioufanya hawa Wamama umesababisha hasara kubwa kwa Nchi na Chama chao, Chadema imeitisha vikao kadhaa vya dharula vyenye gharama kwa ajili ya kuwajadili, zimefunguliwa kesi za gharama kubwa mno huku wao wakilipwa mishahara batili na kulindwa na CCM na Serikali yake, Nani hajui hili?

Hawa hawastahili kusamehewa hata na Shetani na wala hatuna haja ya kupoteza muda kuwajadili tena.

Bali Ifahamike kwamba Walishafukuzwa Chadema tena hadharani, Viongozi wa Chadema kuhudhuria Msiba wa Mama Theresia Mdee aliyekuwa Mwanachama wa Chadema hakuhusiani chochote na Usaliti wa Mtoto wake.

Tumeona tuliweke wazi hili ili kuhitimisha chokochoko za Mamluki kila mahali .

KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI-JK NYERERE
MBOWE ana utu sana , wale mbogamboga huwa wanapiga marufuku kuhudhuria msiba wa "magwanda" lakini Kamanda wa Anga wala hana Nongwa na mtu, anahudhuria tu kwa watesi wake.
 
Makamanda 😆😆😆😆😆. Maokoto kwanza mengineyo baadaye
 
Kutokana na kampeni za kijinga zinazoendelea hapa JF na kwingineko, za kutaka Msaliti Mdee na Wasaliti wenzake warejeshwe Chadema, Imebidi tumelazimika kuja kutoa Ufafanuzi.

Halima Mdee na wenzake, akiwemo Dadaangu Sophia Mwakagenda, Walifukuzwa Chadema na kuvuliwa Uanachama na Vikao halali vya Chama, kwa tuhuma za Aibu za Usaliti na Rushwa ya pesa Taslimu pamoja na kuhongwa Madaraka ya Ubunge (Waliapishwa gereji na Ndugai)

View attachment 3063995

Usaliti walioufanya hawa Wamama umesababisha hasara kubwa kwa Nchi na Chama chao, Chadema imeitisha vikao kadhaa vya dharula vyenye gharama kubwa kwa ajili ya kuwajadili, zimefunguliwa kesi za gharama kubwa mno huku wao wakilipwa mishahara batili na kulindwa na CCM na Serikali yake, Nani hajui hili?

Hawa hawastahili kusamehewa hata na Shetani na wala hatuna haja ya kupoteza muda kuwajadili tena.

Bali Ifahamike kwamba Walishafukuzwa Chadema tena hadharani, Viongozi wa Chadema kuhudhuria Msiba wa Mama Theresia Mdee aliyekuwa Mwanachama wa Chadema hakuhusiani chochote na Usaliti wa Mtoto wake.

Tumeona tuliweke wazi hili ili kuhitimisha chokochoko za Mamluki kila mahali .

KAMA UNAMPENDA MTU KUTOKANA NA SURA YAKE BASI NENDA KANYWE NAYE CHAI-JK NYERERE
Hebu jiweke kwenye viatu vyao halafu niambie ungefanyaje. Jifanye wewe ni Nusrat Henje, umetumikia kifungo rumande bila hatia kwa siku 120, halafu siku moja milango ya gereza inafunguliwa unaambiwa utoke. Kisha uende mahali ukaapishwe kuwa mbunge wa viti maalum.

Je ungeng'ang'ania kubaki rumande?.

Mambo ya mwaka 2020 yalikuwa ni ajali kwa watanzania wote kutokana na lile DUBWASHA tulilolizika Chato. Hakuna mwenye kosa kati ya hao 19. Huo ukurasa unfungwe TUJIPANGE UPYA na hawa akina Halima.
 
Hebu jiweke kwenye viatu vyao halafu niambie ungefanyaje. Jifanye wewe ni Nusrat Henje, umetumikia kifungo rumande bila hatia kwa siku 120, halafu siku moja milango ya gereza infunguliwa unaambiwa utoke. Kisha uende mahali ukaapishwe kuwa mbunge wa viti maalum.

Je ungeng'ang'ania kubaki rumande?.

Mambo ya mwaka 2020 yalikuwa ni ajali kwa watanzania wote kutokana na lile DUBWASHA tulilolizika Chato. Hakuna mwenye kosa kati ya hao 19. Huo ukurasa unfungwe TUJIPANGE UPYA na hawa akina Halima.
Uliwasikia wao wenyewe wakisema hivyo, au umeamua kuwasemea wewe?

Kingine ni hiki, Chadema ina wamama wengi mno wenye uwezo mkubwa sana kuliko hata hao
 
Chadema inaendeshwa kwa vikao, hizo porojo sijui za kuhusu Mwenyekiti ni uzushi tu
Kipindi Lowassa anakuja Chadema!

Ni kikao gani kiliitishwa? Nakumbuka mlishirikishwa mwisho tu...

Dr Slaa alipoona mambo mengi akakaa kando...

Nakumbuka Gwajima akiwa mshenga wakati huo, alikua anafanya vikao na Mbowe tu...
 
Mzee pale kawe hata akihamia kokote anashinda tu

Ussr
 
Kipindi Lowassa anakuja Chadema!

Ni kikao gani kiliitishwa? Nakumbuka mlishirikishwa mwisho tu...

Dr Slaa alipoona mambo mengi akakaa kando...

Nakumbuka Gwajima akiwa mshenga wakati huo, alikua anafanya vikao na Mbowe tu...
Japo uko nje ya mada lakini nataka nikusaidie, ni hivi, Lowassa aliletwa Chadema na Dr Slaa na Rafiki yake Askofu Gwajima, kumhusisha Mbowe ama hujui au umedhamiria kudanganya
 
Back
Top Bottom